Peter Banda tumuweke kundi gani?

Kocha ni mbovu!! Huoni hata chama yupoyupo tu 😀.
 
Uwezo wake wa kawaida Sana-
bora angekuwa mchezaji wa ndani- kwa kuwa ni pro- anaziba nafasi tu- aachwe mara moja- usajiri wa mwaka jana mchezaji ni mmoja tu- Enock!
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…