Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo dogo ni karinyos aliyechangamkaJe tumuweke kwenye kundi la kumpa muda? Tumuweke kwenye kundi la waliofeli? Tumuweke kwenye kundi la overrated? Majibu yote mkumbuke ndio kwanza ana miaka 21, twende kazi...
hakika mkuu,wamewaacha Dunkan,Kahata wakabakiza viazi vilivyooza.Dancan Nyoni alistahili kubaki bhasi tu
Yah kacheza hadi UCLSi tulikubaliana alicheza ulaya?
Tena kifo cha mendeKundi la kifo
Na hapa anafundishwa na Kocha wa MadridSi tulikubaliana alicheza ulaya?
DaahNa hapa anafundishwa na Kocha wa Madrid
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bongo sio Moldova, hapa unapigwa misumari linabaki jina tu...
Ubora wa mchezaji haungaliwi kwa mechi moja nduguWaulize UGNM fc wanajua kazi ya Peter Banda nadhan kwa unafki wabongo tunaongoza
😂😂 kwani kacheza mechi ngapiUbora wa mchezaji haungaliwi kwa mechi moja ndugu
Kabla pablo hajafika team ilikuwa kwenye hali gani?Pablo naye ni tatizo sana kwenye kuwatumia washambuliaji kimfumo
Unamzungumzia Banda as if hapo Simba kwenye safu ya ushambuliaji kuna waliofanya maajabu chini ya Pablo.......HAKUNA
Kila mshambuliaji kwenye mfumo wa Pablo kawa BUTU
Banda anakipaji sana akipata timu/kocha atakayeweza kumtumia atafanya vizuri sana
Nina wasi wasi sana mwaka huu tutaacha wachezaji wazuri sana waliozoeana na pablo atakuja na wachezaji wapya ambao bado mifumo yake kwa soka letu itafeli na atakapo kuja kufukuzwa atakua kashaiharibu Simba vibaya sana