Peter Banda tumuweke kundi gani?

Uwezo wake wa kawaida Sana-
bora angekuwa mchezaji wa ndani- kwa kuwa ni pro- anaziba nafasi tu- aachwe mara moja- usajiri wa mwaka jana mchezaji ni mmoja tu- Enock!
Nakazia
 
Kwa game jana sidhani, wale Raja walifanya home work yao vzr sana na walifanukiwa. Walikuwa bora sana zaidi yetu, hapo hata angecheza nani ni bure tu. Team jana ilibakwa
 
Tumuweke tu kundi la kurudi kinyume nyume πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…