Peter Kibatala alivyokataliwa TLS

Ungekuwa mwanahabari ningekuelewa, lkn wewe mwanasheria nyie hamna mtandao wa taaluma yenu?
 


Wewe ni mzigo sana . Uchaguzi wa TLS una siasa gani hapo ?Hakika wewe ni mzigo kuliko mzigo CCM . Mchumia tumbo tu wewe .
 
Alafu si ndio wanao jiita Learned lawyer/advocate

Hawa kama huwajui utapata nao taabu sana!!!!!
Ni watu kama wengine tu na IQ hizi hizi zetu tu nothing special kabisaaa,sana sana atakuambia form six nimepata "one"!!!!!

Leo dunia ya super specialization ukisema wewe "learned" sijui maana yake inakuwa nini???!!!
 
Digrii za pichu at work!Si kosa lako bali aliy
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Jitambue wewe, kila kitu unalinganisha na kuvuliwa pichu tu. Ushavuliwa sana nini?
 

Inferiority complex!
 
Ungekuwa mwanahabari ningekuelewa, lkn wewe mwanasheria nyie hamna mtandao wa taaluma yenu?

Kwa nini akaweke huko wakati ni habari ya wazi hawa ndio ma advocate wetu sasa wanapochagua viongozi wao tunastahili kupata taarifa hapa kwa uwazi kabisa!!!!!!

Writting style waachie wenyewe watoane macho "wasomi" we kula news na kama unajifunza kitu kwa malumbano yao basi kula somo!!!!
 
Inferiority complex!

Mmmmmmh kwa lipi sasa hiyo socially constructed status ya "learned" au nini???!!!!!
Hebu wasikilize wenzako mkuu haya ya sie "educated fellows" achana nayo kabisa!!!!!
Yaani mtu kama wewe uwe na gut ya kusema huyu ni inferior????!!!!!Please hebu rudia utu wako na ufikirie tena! !!!!!!!!

Kama kweli wewe ni superior taja law firm yako hapa mjini tui analyse fasta in terms of history,achievement,economic muscle na hata influence tu na hivi umenyea kambi I dare you huwezi kuitaja!!!!!!!
 

Kwani unafikiri kila lawyer ni lazima awe na law firm. Basi inaitwa KIPYOTOLO
 
Kwani unafikiri kila lawyer ni lazima awe na law firm. Basi inaitwa KIPYOTOLO
Eti kwani lazima as if ni jambo jepesi kama kuota nywele za kwapa!!!!!! Are sure you dont dream of one?????
Sasa unajivika superiority ya nini??????!!!!!
Kumiliki law firm hata joint venture tu inaashiria hiyo acceleration towards superiority sababu unahitaji kushinda kesi na ku defend interest ya mteja it be individual or corporate ili kubaki sokoni sasa kama haupo kwenye hiyo league unaongea nini hapa?????!!!!!!!
Unahitaji a nice office,ulipe kodi uwe na legal secretary sijui mnawaita naye umlipe ndio atleast uweze kumdhania mtu aweza kuwa inferior ingawa bado huyo inferior ndio atakuvalisha suti na jua kali upande na kushuka ngazi kwa pesa ya mfukoni kwake!!!!!


Watch your mouth youngman
 
Kwa thread yangu JF niite tu mie kilaza mara milioni moja ipo poa tu. Mahakamani utabow down tu!


Msomi, kwanini usiache mabishano?


Au kama vipi toka na verified identity yako hapa ili watu/wanajf wakujue....umwamba wako na pindi watakapotokea huko kortini wajue wanaenda kukutana na mwamba wa sheria nchini Tanzania, na bowing utapata bila chenga.
 

Sasa hii ndio tofauti ya "msomi" na anayeambatana na "wasomi" na hivyo basi kudhaniwa naye ni miongoni mwao!!!!!
 
Haya naacha kubishana
 

tatizo nawe ni mwanaccm tena nahc hiyo sheria umesomeshwa na ccm ndo maana umeleta umbea wako hapa ili wasikudai deni lao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…