Peter Kibatala alivyokataliwa TLS

Peter Kibatala alivyokataliwa TLS

Mashudu yamekuuuuma!

Sina unafiki wa kuwango chako mkuu!

Kama ni kuhudhuria huo uchaguzi hata akina siye tulikuwepo.

Wanajamvi hawajakataa kwamba Kibatala kashindwa uchaguzi, hawana tatizo na kushindwa kwake tatizo ni mtindo ulio tumia kumaddress 'Learned' Mwenzio.
 
Haya naacha kubishana

Mshukuru kaka yako badala ya kusema unaacha kubishana; as you were going deep down a trench na usingetoka!!!!!!

Ha ha haaaaa hapo kama nakuona unavyojutia kauli zako
 
I wonder how faster is our education standard falling. My God, Should I address this fellow as a learned brother? No way. 1st of all did you contest? If not why?
It is well known in the corridors of courts in Tanzania and East Africa so to speak that Peter Kbatala is one of young promising lawyers in our country. Show me his age mate or classmate who is popular than this Kibatala, I will award you.
I'm not a lawyer but a layman with open eyes. I had about Peter Kibatala for quite sometime now and I saw him once on ITV during the burial ceremony of Dr. Mvungi (May his soul rest in peace).
Loosing election is something normal.
My take, Watanzania wenzangu tujtahidi kuelekeza akili zetu kwenye uwezo wa watu, mapungufu yao hayatusaidi. Na kwa uzoefu wangu, tumepoteza viongozi wengi wenye uwezo kwasababu ya tabia hii ya kukodolea macho mapungufu yao na kusahau talanta zao ambazo Mungu amewapa.
 
Kimsingi ni hivi kushinda au kushindwa kesi ndiyo maisha halisi ya mwanasheria yeyote , kwasisi tunaojua sheria kwa kiwango tuu tunajua kuwa kilichofanyika siku ile mahakamani sio mwisho wa kesi, bali ni sehemu tuu ya kesi
 
Kimsingi ni hivi kushinda au kushindwa kesi ndiyo maisha halisi ya mwanasheria yeyote , kwasisi tunaojua sheria kwa kiwango tuu tunajua kuwa kilichofanyika siku ile mahakamani sio mwisho wa kesi, bali ni sehemu tuu ya kesi

Tatizo ni viwango vya chini sana walivyonavyo Watanzania wengi. Leo hii eti Msando anaonekana kichwa, bonge la mwanasheria kisa tu hakimu au sijui jaji yule alitoa uamuzi ulioafikiana na ombi la mteja wa huyo bwana mdogo.

Sasa shauri lenyewe lilikuwa open-and-shut. Karibu mtu yeyote mwenye sense of fairness angeamua kama hivyo alivyoamua huyo hakimu.

Lakini kwa wabongo...aaah Msando ndo shujaa...ndo super lawyer. Ndo viwango vyetu hivyo.
 
Jana Chama chetu cha Wanasheria wa Tanganyika tulifanya uchaguzi wa viongozi wetu. Peter Kibatala alikuwa ni mmoja wa wagombea wa.nafasi ya Umakamu wa Rais - nafasi aliyokuwa akiitetea kwani aliishika kwa miaka mitatu mfululizo. Kibatala alijiponza mwenyewe kwani alianza kujinadi kwa kudai eti kuna wenzetu walimbembeleza agombee Urais na yeye akakataa kwa kujiona bado immature (wajumbe tukaguna). Hii ilionesha ana uroho wa madaraka km Zitto Kabwe (inashangaza anampinga mahakamani). Then aliendelea kubwabwaja maneno mengi ambayo yalimfanya ajipambanue kuwa nafasi aliyokuwa kaishika hakuwa na mafanikio sana kwa sababu ya kubanwa na majukumu ya kisiaasa ktk chama chake cha CDM. Kura zilipopigwa tukampa mwanadada Flavian na akamzidi Kibala kwa zaidi ya kura 800. Kibatala hakuamini macho yake na alitoweka moja kwa moja ukumbini. Hivi ninavyoandika nipo KIA narudi Dar na jina lake linaitwa hapa airport ili apande ndege lakini hapatikani kuonesha kuwa amepata aibu sana na hataki kurudi Dar na sisi kwani tunaweza tukawa tunamsodoa kimoyomoyo mpaka tutapotua Dar.
My take: ukiamua kuwa mwanasiasa kuwa mwanasiasa kweli, ukiamua kuwa mwanasheria basi tumikia sheria kwani hapa inasubiriwa tu Kibatala apate pigo jingine atakapogaragazwa na Msando ktk kesi ya msingi ya Zitto Kabwe

kama umbea wa kiasi hiki umehama toka saluni za wanawake uswahilini hadi kwenye laptop/ipad za wanasheria, basi Tanzania bado sana!
 
First, what parts of speech are 'get' and 'grown up'?

Tuanzie hapo kwanza.

Mkuu, naomba urekebishe tu.


Pia, ufahamu kuwa lugha ya Kiingereza sio lugha yangu ya kuzaliwa na, vile vile, Kiingereza kinatumiwa kwa style tofauti....hivyo basi, mimi najua vena nilichoandika....na kama unatumia BBC English unaruhusiwa kunikosoa.
 
Mkuu, naomba urekebishe tu.

Pia, ufahamu kuwa lugha ya Kiingereza sio lugha yangu ya kuzaliwa na, vile vile, Kiingereza kinatumiwa kwa style tofauti....hivyo basi, mimi najua vena nilichoandika....na kama unatumia BBC English unaruhusiwa kunikosoa.

Kama umeamua kukitumia kwa kutumia kanuni (style) zako basi, siwezi kukubishia wala kukurekebisha.
 
Kibatala ni mweupe mno, hana kitu ktk tasnia ya sheria
 
Bavicha Mshaurini Kibatala aelekeze nguvu na akili zake kwenye case ya Lulu.
 
Back
Top Bottom