Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usomi haujatajwa,umetajwa uzalendo na moyo wa upendo alionao.Waliokuwepo leo siyo wote Chadema,Bali ni mguso tu kama nilivyoguswa kutoa wazo.huyo.ndiyo wakili.msomi sasa
ni mojawapo ya watu wanaosapoti sana fujo za cdm, nafikiri ni muhimu serikali imwangalie kwa jicho la karibu.Sadaka ni moyo!
Kibatala amekuwa mstari wa mbele kusimamia HAKI kwa wale wanaosimama badala ya wengine pamoja na vikwazo vingi anavyopitia katika majukumu yake...
Lisu si ndio kigogo huko twitter anamtukana kuwa ni choko? au sio huyo.Huyu Kibatala nahisi ule ujasiri wa Lissu umeshamvaa,Lissu anaweza kuwa hayupo ila Legacy yake inaendelea
Sio zile legacy za kujenga Makalavati
Uhalifu gani kafanya hapoUyo mtu aliyefatwa na kutamkiwa ivyo nae ameonewa? Uyo mwarifu kama angekuwa anaitaka haki angeenenda katika haki. Sio haki ije baada ya kufanya uovu.
Huu ujinga wa kutetea waharifu sijui tumeutoa wapi?
amini usiamini, polisi wakati huu wamekuwa wakarimu sana, hata yule jamaa amewekwa kwenye gari anayeongea na kibatala, hatahitaji hata dhamana, atafika kule polisi, ataonywa tu na kuruhusiwa kurudi nyumbani. wanafanya ukaribu na upendo wakifikiri labda cdm watastuka na kufanya mambo yao bila dharau kwa serikali wala violence. ukiwa na mtoto ambaye kila anachotaka anataka kulazimisha kuna wakati ukimchoka unaweza kumchapa, na akichapwa hatakiwi kulalamika, aliyataka mwenyewe.Uyo mtu aliyefatwa na kutamkiwa ivyo nae ameonewa? Uyo mwarifu kama angekuwa anaitaka haki angeenenda katika haki. Sio haki ije baada ya kufanya uovu.
Huu ujinga wa kutetea waharifu sijui tumeutoa wapi?
Bila shaka wewe utakua yule Askari aliyepigwa picha "gwanda" imetoboka" Kama gwanda za waasi huko DRC.ni mojawapo ya watu wanaosapoti sana fujo za cdm, nafikiri ni muhimu serikali imwangalie kwa jicho la karibu.
hapana, mimi sio askari, ningekuwa askari hao chadema leo wasingekuwa wanatembea bila msaada, ningetengua magoti yao wote kwa mabuti yangu. nashukuru Mungu mimi sio askari.Bila shaka wewe utakua yule Askari aliyepigwa picha "gwanda" imetoboka" Kama gwanda za waasi huko DRC.
Mtupe na mrejesho- tangia ndege zimenunuliwa zimeshaingiza faida kiasi gani?Kibatala hutamuona akitetea ndege zikikamatwa na wazungu, yeye yuko bize kutetea magaidi ya chadema tu.
Ikiwa Bwana Saimon anajukumu zito la kusimamia sheria zinafuatwa juzi, hadharani na majivuno KAINGILIA UHURU WA MAHAKAMA sembuse Maamuma!hapana, mimi sio askari, ningekuwa askari hao chadema leo wasingekuwa wanatembea bila msaada, ningetengua magoti yao wote kwa mabuti yangu. nashukuru Mungu mimi sio askari. nasema hivi kwasababu kesi ipo mahakamani lakini wao wanakuja na mabango kuishinikiza mahakama ione mtu wao hana hatia, hawaoni kama huko ni kuingilia uhuru wa mahakama? ni dharau kwa mahakama na ndio tabia yao na chama chao.
Amina.Mathayo 5 kwa ujumla wake ina
“...Heri yenu nyinyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu. Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. ..."
Yamhusu sana mtumishi wa Mungu kama bwana Peter Kibatala.
kwani mwanasheria wenu kibatala hajaingilia suala la mahakama kwenye ile interview? na ni mwanasheria kabisa. au, kwa vile simon amefanya hivyo na wewe kwa kiburi unafanya, si ujeuri huo? mkipigwa mnaanza kulia. na mnaamini mnaipigania nchi? hahahaha.Ikiwa Bwana Saimon anajukumu zito la kusimamia sheria zinafuatwa juzi, hadharani na majivuno KAINGILIA UHURU WA MAHAKAMA sembuse Maamuma!
Kama ungekua Askari ilitakiwa uanze kuvunja miguu ya Saimon Kwanza.
Sasa kama anatukana mi inahihusu nini?Lisu si ndio kigogo huko twitter anamtukana kuwa ni choko? au sio huyo.
natoa tu taarifa kuwa rais wenu ameitwa "choko" na kigogo ili mjue. si unaelewa maana na choko?Sasa kama anatukana mi inahihusu nini?
Kwani HAKI ni nini braza?Uyo mtu aliyefatwa na kutamkiwa ivyo nae ameonewa? Uyo mwarifu kama angekuwa anaitaka haki angeenenda katika haki. Sio haki ije baada ya kufanya uovu.
Huu ujinga wa kutetea waharifu sijui tumeutoa wapi?
Ndio Uhuru wa maoni huonatoa tu taarifa kuwa rais wenu ameitwa "choko" na kigogo ili mjue. si unaelewa maana na choko?