Peter Kupaza, Mtanzania aliemuua dada yake nchini Marekani

Peter Kupaza, Mtanzania aliemuua dada yake nchini Marekani

Hawa ni Wasambaa wa Lushoto Tanga, bado inaaminika kuwa muuwaji halisi alikua ni huyo Mzungu....
Ata minakumbuka ivyo maada uyu mdada aliye uwawa alishaanza kutafuta baazi ya watanzania wa ishio Marekani na kuomba msaada wa kulud Tz kwakuwa yule mama wa kizungu alikuwa akimyanyasa na hakutaka kabisa kuishi nae kwakuwa aliisi alikuwa akitembea na mumewe ambae ni mjombaake uyo mdada aliyeuwawa..
 
Jamaa anapelekwa USA na mzungu halafu ana mwita dada yake wakafaidi halafu anamwacha mzungu anafanya maasi na dada yake 😳 Hii kiboko
 
Ata minakumbuka ivyo maada uyu mdada aliye uwawa alishaanza kutafuta baazi ya watanzania wa ishio Marekani na kuomba msaada wa kulud Tz kwakuwa yule mama wa kizungu alikuwa akimyanyasa na hakutaka kabisa kuishi nae kwakuwa aliisi alikuwa akitembea na mumewe ambae ni mjombaake uyo mdada aliyeuwawa..
Asante sana sana, kwahio Kupaza anatumikia kifungo ambacho sio stahiki t
Yake...
 
Kwa mazingira ya Kesi na ushahidi kwa ujumla Bw.Kupaza asingeweza kuchomoka ,na asilimia 80 zinamtia hatiani kutokana na maelezo yake binafsi
1. Kama alijua mtu aliyekuwa anaishi naye alikuwa amekufa kwanini hakusema ukweli pamoja na kudhihirisha mwili wa marehemu kuwepo, bali alibisha kwamba ameenda Tanzania
2.kwanini alidanganya mahakama kwamba ameongea na wazazi wa mwampashi ilhali hakuwa amefanya hivo
3. Kwanini aliandika awe contact person wake kwenye kazi aliyokuwa ameomba ilhali mtu mwenyewe alikuwa anajua ameshaenda Tanzania

All in all hatujui kwanini alifanya unyama mkubwa wa aina hyo kwa ndugu yake ,
Ushahidi wa kimazingira zaidi ulimtia hatiani..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Ukisoma story yote jamaa kasetiwa tu akapigwa miaka.huyo demu ndio muuaji ametengeneza tu fiction kumkomoa jamaa.
Na yule stranger aliyewaonyesha mifuko ile family na kuwaambia pigeni simu polisi kisha akatokomea yu wapi?
Angekua wa kwanza kukamatwa
 
Dah!

Hivi mtoto wa baba mdogo tunamwita binamu pia!? Anyway, inavutia na inahuzunisha pia kwa sababu...

Wazee wamepeleka watoto wawili nje ya nchi then wanakuja kusafiri hadi ng'ambo kwenda kuambulia misiba miwili tu (kifo na kifungo)

Jamaa kachomwa na mkewe (mtalaka) kweupe kabisa yaani mtu amekariri mienendo yako yote hatimaye anatumia yale madhaifu yako yote na kuyachomekea vilivyo kwenye kesi hadi inaingia akilini

Jamaa naye (kwa ushahidi huo kama nikweli mhusika ni yeye) basi alizingua sana maana tukio la mimba kwa mdogo ake mpaka kuitoa mpaka kumuua dah!

Lakini tukirudi maelezo (sababu) ya kuachana na huyo mzungu napata wasiwasi kifo hicho kama siyo mchongo wa mwanamama huyo maana imesemwa waliachana baada ya jamaa kumpa Mwavino ujauzito

Ninachoona mimi huenda jamaa alidate na dada yake kweli na akamjaza mimba ila kuua kaua huyu mkewe kwa kuwakomesha wabongo kwa jeuri waliyomwonesha wakati yeye ndiye aliyewakaribisha mjini

Halafu hivi hapo sijaelewa... kwamba mshitaki ni nani kwenye hii kesi au taratibu nzima za uendeshaji wa kesi huko zikoje maana naona naona kila aliyekuja ni kumkandamiza tu mshkaji na hata ilipokuja ishu ya jamaa mwenye van mahakama ikaignore simply tu au ndo kulindana wao kwa wao na aibu ya kumwua kikatili mgeni?

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi nilivyosoma maelezo ya hii habari kutoka kwa mtoa mada hapo juu, maelezo ya peter kushindwa kuchinja hata kuku yanakuwa hayana nguvu kutokana na ushahidi mwingi kumkuta yeye.

Inawezekana yule mama alimtengenezea tukio, lakini peter ndo adanganye dadaake alisharudi tanzania? Atampaje nauli dadaake wakati hata fedha ya mambo ya talaka hakuwa nayo? Pesa ya kukodi gari binafsi? Kazi ya kueleweka kumuingizia kipato cha kutosha hakuwa nayo.

Ni ngumu sana kumtoa peter kwenye hili sakata.
Pengine alishaambiwa "nakuundia kesi na hutochomoka" au pengine alihusishwa kiaina kwenye mauaji ndo akawa anatafuta namna nzuri ya kujinasua ila ndo vile tena

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kwanini peter aseme dada yake karudi tanzania,hii kesi nliisoma kitambo peter ushahidi mwingi ulimbana yeye..kwanini aseme aliongea na baba yake mwivano wakati ni uwongo
Jamani jamani mazee hebu tuepuke kuamini mojakwamoja hii kitu... pengine alichimbwa biti la kufa kiumbe! (Ukizingatia mji wa watu ule- jamaa akaamua kunywea)

Sasa unadhani kuku angeanzia wapi kumwambia mwewe kwamba kunguru kabeba kifaranga chake?

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom