Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Hakuna mahakama hapo ni tawi la CCMKupitia mtandao wa X, Wakili Peter Madeleka ameandika kuwa
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Arusha (A.R. NDOSSY-SRM) AMEKATAA kutoa HATI YA WITO (Summons) Kwa WASHITAKIWA hapo , KINYUME kabisa cha vifungu 128(2), (4), (5) , 100(2) na 130 vya CPA. Awali MALALAMIKO hayo yalipokelewa kwa kumbukumbu: AD/RM/ARS/91511/2023.
Pia soma > Peter Madeleka awaburuta Mahakamani Jaji Biswalo Mganga na Kamishina wa uhamiaji Anna Makakala
Ni ajabu na kweli mkuuNyani amwite ngedere mahakamani kusikiliza kesi mkulima? Tumepoteza sifa ya kuitwa taifa. Tufutiwe kiti huko UN maana tupo kama shamba ukoo wa panya
Nimeikumbuka kauli ya RAHakuna mahakama hapo ni tawi la CCM
Dah! Nchi na dunia hii!Kupitia mtandao wa X, Wakili Peter Madeleka ameandika kuwa
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Arusha (A.R. NDOSSY-SRM) AMEKATAA kutoa HATI YA WITO (Summons) Kwa WASHITAKIWA hapo , KINYUME kabisa cha vifungu 128(2), (4), (5) , 100(2) na 130 vya CPA. Awali MALALAMIKO hayo yalipokelewa kwa kumbukumbu: AD/RM/ARS/91511/2023.
Pia soma > Peter Madeleka awaburuta Mahakamani Jaji Biswalo Mganga na Kamishina wa uhamiaji Anna Makakala
Nilitegemea hilo. Siku hizi kwenye vyombo vya haki yamebaki majengo tuu.Kupitia mtandao wa X, Wakili Peter Madeleka ameandika kuwa
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Arusha (A.R. NDOSSY-SRM) AMEKATAA kutoa HATI YA WITO (Summons) Kwa WASHITAKIWA hapo , KINYUME kabisa cha vifungu 128(2), (4), (5) , 100(2) na 130 vya CPA. Awali MALALAMIKO hayo yalipokelewa kwa kumbukumbu: AD/RM/ARS/91511/2023.
Pia soma > Peter Madeleka awaburuta Mahakamani Jaji Biswalo Mganga na Kamishina wa uhamiaji Anna Makakala