Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
shahidi wa pili sasa anahenya, hajui hata maana ya Malaya na kahaba ni nini!!.Shauri la madada poa limefikia hatua gani, tunatoka kuwajua walompiga chuma Lissu
Uwe unafuatilia habari zipoShauri la madada poa limefikia hatua gani, tunatoka kuwajua walompiga chuma Lissu
Crap from satanic soul.baada ya kuwatetea makahaba anajiona anaweza kila kitu,sisi yetu macho!!!
Hatumii nguvu, bali Sheria. Sema yako macho, sio yetu harakati hazihitaji watu wavivu wa fikra.baada ya kuwatetea makahaba anajiona anaweza kila kitu,sisi yetu macho!!!
SawaHatumii nguvu, bali Sheria.Sema yako macho ,sio yetu harakati hazihitaji watu wavivu wa fikra.
Sheria ahihitaji utumie hisia ππbaada ya kuwatetea makahaba anajiona anaweza kila kitu,sisi yetu macho!!!
Unaumia upande upi? Jee wewe hutaki watekaji wajulikane?baada ya kuwatetea makahaba anajiona anaweza kila kitu,sisi yetu macho!!!
Madekela atafungua shauri mahakamani, huo upelelezi anafanya Nani hawa hawa wapelelezi wetu au?Sheria ahihitaji utumie hisia ππ
Namuonea huruma madekela Kwa jinsi nchi yetu isivyo kuwa na haki!!Unaumia upande upi? Jee wewe hutaki watekaji wajulikane?
Lakini yeye anasimama Kwa zamu yake kuileta haki, sisi tunamuungaje mkono katika kuhakikisha anawazidi nguvu wapoka haki?Namuonea huruma madekela Kwa jinsi nchi yetu isivyo kuwa na haki!!
Kumuombea na kumtia moyoLakini yeye anasimama Kwa zamu yake kuileta haki, sisi tunamuungaje mkono katika kuhakikisha anawazidi nguvu wapoka haki?
Yupo Lisu, Kitabala wanaifanya kazi yao vizuri snHuyu jamaa tumuombe Mungu amlinde na sisi tujitahidi kumlinda...tukiwapata wengi wasampuli ya huyu jamaa nchi hii itasonga