Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Watekaji ni hao haoUkiona tukio kama hilo limetokea na hakuna aliyekamatwa basi jua kwamba "SIRIKALI" ndiyo iliyohusika.
Yaani mtu hadi kapigiwa simu na rafiki yake kisha akatekwa wameshindwaje kumtight yule alioyempigia simu na kuona connection zote? Haiwezekani kufanya uhalifu bila kuacha traces.