Peter Madeleka: Nina uwezo wa kwenda Mahakamani kufungua kesi na kuwajua waliomteka na kumtesa Sativa

Peter Madeleka: Nina uwezo wa kwenda Mahakamani kufungua kesi na kuwajua waliomteka na kumtesa Sativa

Madekela atafungua shauri mahakamani,huo upelelezi anafanya Nani hawa hawa wapelelezi wetu au?
Kwa maelezo ya sativa anadai alipelekwa kituo cha polisi oysterbay baadae Arusha!!
Nini ambacho huelewi hapo mkuu?
Ww unadhani kila upelelezi unafanywa na polisi?

Kama hujui sheria its better ukakaa kimya ili ujifunze.

Sheria inaruhusu Private prosecution if mahakama ikijiridhisha kuwa polisi wana interest na hiyo case
 
Ww unadhani kila upelelezi unafanywa na polisi?

Kama hujui sheria its better ukakaa kimya ili ujifunze.

Sheria inaruhusu Private prosecution if mahakama ikijiridhisha kuwa polisi wana interest na hiyo case
Sawa nasubiri kujifunza!
 
Madekela atafungua shauri mahakamani,huo upelelezi anafanya Nani hawa hawa wapelelezi wetu au?
Kwa maelezo ya sativa anadai alipelekwa kituo cha polisi oysterbay baadae Arusha!!
Nini ambacho huelewi hapo mkuu?
Arusha alipelekwa kwa nani na kwanini huko? Natamani sana kujua hapa.
 
Madekela atafungua shauri mahakamani, huo upelelezi anafanya Nani hawa hawa wapelelezi wetu au?

Kwa maelezo ya sativa anadai alipelekwa kituo cha polisi oysterbay baadae Arusha!!
Nini ambacho huelewi hapo mkuu?
Kalakana ya kituo cha polisi Oysterbay🤔
 
Ameandika Wakili msomi.
[emoji116]

"Alichoandika Madeleka kwenye ukurasa wake wa X
Ninao UWEZO wa kutumia SHERIA ili MAHAKAMA IWAJUE na KUWAWAJIBISHA wote WALIOMTEKA na KUMTESA ndugu SATIVA. Tukikaa MTAANI watesaji hao HAWAWEZI KUJULIKANA, lakini TUKIENDA MAHAKAMANI, wote MTAWAJUA. Tushirikiane kutafuta HAKI ya SATIVA."
View attachment 3027929

Pia soma SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Kwani Mahakama ndiyo inafanya uchunguzi, naomba kuuliza!!
 
Ameandika Wakili msomi.
👇

"Alichoandika Madeleka kwenye ukurasa wake wa X
Ninao UWEZO wa kutumia SHERIA ili MAHAKAMA IWAJUE na KUWAWAJIBISHA wote WALIOMTEKA na KUMTESA ndugu SATIVA. Tukikaa MTAANI watesaji hao HAWAWEZI KUJULIKANA, lakini TUKIENDA MAHAKAMANI, wote MTAWAJUA. Tushirikiane kutafuta HAKI ya SATIVA."
View attachment 3027929

Pia soma SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa
KAMA ALIYETEKWA AMESEMA ALIFIKISHWA POLISI KITUO FULANI, NA MUDA FULANI, WALIOKUWEPO ZAMU SIKU HIYO NI FULANI NA FULANI, SASA HAPO SI WAMESHAPATIKANI, MADELEKA MPENDA KIKI, THIS IS ALITTLE TYPES OF INVESTIGATONS!
 
Sheria ahihitaji utumie hisia 😂😂
Hiyo Dp yako umeupig pozi kama langu , nikasema huyu mwamba kachukua picha yangu...🤣. Ila pozi langu lilikuwa unyamaaa.. Nice snaps dude
 
Ameandika Wakili msomi.
👇

"Alichoandika Madeleka kwenye ukurasa wake wa X
Ninao UWEZO wa kutumia SHERIA ili MAHAKAMA IWAJUE na KUWAWAJIBISHA wote WALIOMTEKA na KUMTESA ndugu SATIVA. Tukikaa MTAANI watesaji hao HAWAWEZI KUJULIKANA, lakini TUKIENDA MAHAKAMANI, wote MTAWAJUA. Tushirikiane kutafuta HAKI ya SATIVA."
View attachment 3027929

Pia soma SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Huyu Madeleka muda si mrefu atachanganyikiwa.
 
Hiyo Dp yako umeupig pozi kama langu , nikasema huyu mwamba kachukua picha yangu...🤣. Ila pozi langu lilikuwa unyamaaa.. Nice snaps dude
Aaah hiyo picha imepigwa mbali sana Mkuu... Niliipiga kule Mt. Kilimanjaro karibu na mawingu 😂
 
Back
Top Bottom