Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Watekaji ni hao haoUkiona tukio kama hilo limetokea na hakuna aliyekamatwa basi jua kwamba "SIRIKALI" ndiyo iliyohusika.
Yaani mtu hadi kapigiwa simu na rafiki yake kisha akatekwa wameshindwaje kumtight yule alioyempigia simu na kuona connection zote? Haiwezekani kufanya uhalifu bila kuacha traces.
Ww unadhani kila upelelezi unafanywa na polisi?Madekela atafungua shauri mahakamani,huo upelelezi anafanya Nani hawa hawa wapelelezi wetu au?
Kwa maelezo ya sativa anadai alipelekwa kituo cha polisi oysterbay baadae Arusha!!
Nini ambacho huelewi hapo mkuu?
Sawa nasubiri kujifunza!Ww unadhani kila upelelezi unafanywa na polisi?
Kama hujui sheria its better ukakaa kimya ili ujifunze.
Sheria inaruhusu Private prosecution if mahakama ikijiridhisha kuwa polisi wana interest na hiyo case
Arusha alipelekwa kwa nani na kwanini huko? Natamani sana kujua hapa.Madekela atafungua shauri mahakamani,huo upelelezi anafanya Nani hawa hawa wapelelezi wetu au?
Kwa maelezo ya sativa anadai alipelekwa kituo cha polisi oysterbay baadae Arusha!!
Nini ambacho huelewi hapo mkuu?
Naunga mkono hojaCrap from satanic soul.
Wewe unaweza nini?baada ya kuwatetea makahaba anajiona anaweza kila kitu,sisi yetu macho!!!
Kalakana ya kituo cha polisi Oysterbayπ€Madekela atafungua shauri mahakamani, huo upelelezi anafanya Nani hawa hawa wapelelezi wetu au?
Kwa maelezo ya sativa anadai alipelekwa kituo cha polisi oysterbay baadae Arusha!!
Nini ambacho huelewi hapo mkuu?
Kwani Mahakama ndiyo inafanya uchunguzi, naomba kuuliza!!Ameandika Wakili msomi.
[emoji116]
"Alichoandika Madeleka kwenye ukurasa wake wa X
Ninao UWEZO wa kutumia SHERIA ili MAHAKAMA IWAJUE na KUWAWAJIBISHA wote WALIOMTEKA na KUMTESA ndugu SATIVA. Tukikaa MTAANI watesaji hao HAWAWEZI KUJULIKANA, lakini TUKIENDA MAHAKAMANI, wote MTAWAJUA. Tushirikiane kutafuta HAKI ya SATIVA."
View attachment 3027929
Pia soma SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa
KAMA ALIYETEKWA AMESEMA ALIFIKISHWA POLISI KITUO FULANI, NA MUDA FULANI, WALIOKUWEPO ZAMU SIKU HIYO NI FULANI NA FULANI, SASA HAPO SI WAMESHAPATIKANI, MADELEKA MPENDA KIKI, THIS IS ALITTLE TYPES OF INVESTIGATONS!Ameandika Wakili msomi.
π
"Alichoandika Madeleka kwenye ukurasa wake wa X
Ninao UWEZO wa kutumia SHERIA ili MAHAKAMA IWAJUE na KUWAWAJIBISHA wote WALIOMTEKA na KUMTESA ndugu SATIVA. Tukikaa MTAANI watesaji hao HAWAWEZI KUJULIKANA, lakini TUKIENDA MAHAKAMANI, wote MTAWAJUA. Tushirikiane kutafuta HAKI ya SATIVA."
View attachment 3027929
Pia soma SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Hiyo Dp yako umeupig pozi kama langu , nikasema huyu mwamba kachukua picha yangu...π€£. Ila pozi langu lilikuwa unyamaaa.. Nice snaps dudeSheria ahihitaji utumie hisia ππ
Huyu Madeleka muda si mrefu atachanganyikiwa.Ameandika Wakili msomi.
π
"Alichoandika Madeleka kwenye ukurasa wake wa X
Ninao UWEZO wa kutumia SHERIA ili MAHAKAMA IWAJUE na KUWAWAJIBISHA wote WALIOMTEKA na KUMTESA ndugu SATIVA. Tukikaa MTAANI watesaji hao HAWAWEZI KUJULIKANA, lakini TUKIENDA MAHAKAMANI, wote MTAWAJUA. Tushirikiane kutafuta HAKI ya SATIVA."
View attachment 3027929
Pia soma SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Aaah hiyo picha imepigwa mbali sana Mkuu... Niliipiga kule Mt. Kilimanjaro karibu na mawingu πHiyo Dp yako umeupig pozi kama langu , nikasema huyu mwamba kachukua picha yangu...π€£. Ila pozi langu lilikuwa unyamaaa.. Nice snaps dude
Ngoja nkutumie yangu sasa ,uone unyamaa π€£Aaah hiyo picha imepigwa mbali sana Mkuu... Niliipiga kule Mt. Kilimanjaro karibu na mawingu π
Hatumii nguvu, bali Sheria. Sema yako macho, sio yetu harakati hazihitaji watu wavivu wa fikra.