Pre GE2025 Peter Madeleka: Wanasema ukitaka kugombana na Mbowe, gombea Uenyekiti wa CHADEMA

Pre GE2025 Peter Madeleka: Wanasema ukitaka kugombana na Mbowe, gombea Uenyekiti wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakili msomi Peter Madeleka afunguka mambo mazito kuhusu uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unatarajiwa kufanyika Januari 2025.

"Wako watu ambao wanasema, na sidhani kama wako sahihi sana, lakini inawezekana ni nadharia tu ambazo zinapaswa kuthibitishwa vinginevyo na Mbowe mwenyewe na wale wanaomshabikia, kwamba ukitaka ugombane na Mbowe, gombea uenyekiti. Wanaenda mbali wanatoa mifano, 'Mimi binafsi siamini hilo kama linaweza kuwa ni kweli,' alisema Madeleke, akiongeza, Mwangalie Zitto alivyojaribu, nini kilimkuta? Mwangalie Chacha Wangwe, nini kilimkuta? Frederick Sumaye, Cecil Mwambe, nini kilimkuta?"



Pia, Soma:

Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
 
Wakili msomi Peter Madeleka afunguka mambo mazito kuhusu uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unatarajiwa kufanyika Januari 2025.

"Wako watu ambao wanasema, na sidhani kama wako sahihi sana, lakini inawezekana ni nadharia tu ambazo zinapaswa kuthibitishwa vinginevyo na Mbowe mwenyewe na wale wanaomshabikia, kwamba ukitaka ugombane na Mbowe, gombea uenyekiti. Wanaenda mbali wanatoa mifano, 'Mimi binafsi siamini hilo kama linaweza kuwa ni kweli,' alisema Madeleke, akiongeza, Mwangalie Zitto alivyojaribu, nini kilimkuta? Mwangalie Chacha Wangwe, nini kilimkuta? Frederick Sumaye, Cecil Mwambe, nini kilimkuta?"

View attachment 3187253

Pia, Soma:

Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
Mbowe anakuua ukijichanganya kwenye uenyekiti
 
Back
Top Bottom