CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Kaguswa bwana wenu lazima mpige mayowe,nyumbu wa Mbowe mna shida sana,yaani kwa vile ni wakili hana haki ya kutoa maoni yake.Mawakili wengi wamesahau KAZI Yao waliyosomea na wanayotakiwa kuifanya!
Matokeo yake, wamejiingiza kwenye siasa na uwana harakati!
Yanayowakuta sasa....