Wakili msomi Peter Madeleka afunguka mambo mazito kuhusu uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unatarajiwa kufanyika Januari 2025.
"Wako watu ambao wanasema, na sidhani kama wako sahihi sana, lakini inawezekana ni nadharia tu ambazo zinapaswa kuthibitishwa vinginevyo na Mbowe mwenyewe na wale wanaomshabikia, kwamba ukitaka ugombane na Mbowe, gombea uenyekiti. Wanaenda mbali wanatoa mifano, 'Mimi binafsi siamini hilo kama linaweza kuwa ni kweli,' alisema Madeleke, akiongeza, Mwangalie Zitto alivyojaribu, nini kilimkuta? Mwangalie Chacha Wangwe, nini kilimkuta? Frederick Sumaye, Cecil Mwambe, nini kilimkuta?"
Mawakili wengi wamesahau KAZI Yao waliyosomea na wanayotakiwa kuifanya!
Matokeo yake, wamejiingiza kwenye siasa na uwana harakati!
Yanayowakuta sasa....
Wakili msomi Peter Madeleka afunguka mambo mazito kuhusu uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unatarajiwa kufanyika Januari 2025.
"Wako watu ambao wanasema, na sidhani kama wako sahihi sana, lakini inawezekana ni nadharia tu ambazo zinapaswa kuthibitishwa vinginevyo na Mbowe mwenyewe na wale wanaomshabikia, kwamba ukitaka ugombane na Mbowe, gombea uenyekiti. Wanaenda mbali wanatoa mifano, 'Mimi binafsi siamini hilo kama linaweza kuwa ni kweli,' alisema Madeleke, akiongeza, Mwangalie Zitto alivyojaribu, nini kilimkuta? Mwangalie Chacha Wangwe, nini kilimkuta? Frederick Sumaye, Cecil Mwambe, nini kilimkuta?"
Mawakili wengi wamesahau KAZI Yao waliyosomea na wanayotakiwa kuifanya!
Matokeo yake, wamejiingiza kwenye siasa na uwana harakati!
Yanayowakuta sasa....