Peter Msechu asema hajawahi kuona Watu ' Wanafiki ' na ' Wabinafsi ' duniani kama Watanzania

Akili yako imejaa siasa mdogo wangu relax maisha mafupi sana jadili kilichopo
 
Hivi Msechu na yule mdogo wake Mange Kimambi ,anaitwa Anil nani kibonge zaidi?
 

Ni bahati mbaya kachelewa kuwafahamu WaTz. Generally tunapenda cheap news kuliko hard news na utekelezaji wa mambo yetu upo hivyo.
Mfano, pitia kwa muuza magazeti yoyote asubuhi utashuhudia watu wapo busy na EPL kuliko mambo muhimu ya hapa Tz yanayohusu ustawi wa maisha yao
 
Y
Yeye si aliamua kuungana na watawala ambao ni wanyonyaji na kuamua kuwasifia? Sasa awaombe haohao watawala wampigie kura sisi watanzania tutabaki kufuatilia udaku...mambo ya kumuinua watamuinua anaowasifia kila siku...sisi vya kumuinua havituhusu
 
Hajakosea,leo hakuna mtu anahangaika na bajeti wala ripoti ya CAG,wanafuatilia chupi ya nandy na video za daimond
 
Pumbavu. Anatutukana kwa sababu alitaka tumpigie kura na hakupata alizotaka?
Yeye ndie mnafiki mkubwa. Amepata mshahara wake
 
Sisi ndio sisi, wachawi sisi, CCM sisi, wanga sisi, husuda sisi, uzandiki sisi, unafiki sisi, Kila kitu kibaya sisi. Hii ni laana ya mwenge.
Isaya 50;11

11 Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
Isaya 50 :11
 
Hahaahahaaa...

Mchechuuu...

Pole kwa kuchelewa.
 
Basi siku nyingine awe mjanja; aseme "Naombeni mpakue nyimbo zangu na mnipigie kura vinginevyo nitaachana na me wangu Mama Lolo"
Bila shaka watu watapakua nyimbo na kumpigia kura sambamba na kumpa ushauri asimuache Mama Lolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…