Eeh bhana eeh !!!!umeuaSisi ndio sisi, wachawi sisi, CCM sisi, wanga sisi, husuda sisi, uzandiki sisi, unafiki sisi, Kila kitu kibaya sisi. Hii ni laana ya mwenge.
Isaya 50;11
Eeh bhana eeh!!!! Umeua mzee babaYeye ndo mnafiki wa kwanza kisha wanafuata watanzania alafu mimi ndo wa mwisho.
Si aliiimbia CCM mbele kwa mbele mwaka 2015 acha sasa imlalie mbele. Leo bungeni nimeshangaa naibu spika kuizima hoja ya kuzifungia nyimbo zao sasa wapate akili sio 2020 wawatungie nyimbo mawe na kiranja wao wa kuzimu
Niambie bibiJamani jamani