The Chosen One
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 3,579
- 17,011
Wote wafupi,wote wamevimbiwa ila msechu kavimbiwa zaid na wote maji yananii yaleee.... Eeh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hawa wamefanana mno sijui ndo mambo ya 49%
View attachment 321543
CC. MahondowWamefanana ndiyo..
HapanaUnamaana wamekaa taahira.
Unamaana wamekaa kitaahira.
eti kitaahira?Unamaana wamekaa kitaahira.
Evelyn Salt basi nikiliona uno lako mwili wavurugika Mr Kipago mie jamaniMshana mshana unantaftia kesi mie bora um cc shetta peke ake lol
We siyo mtanzaniaMsechu namjua, but Lissu simjui
Kumbe tupo wengi tuliokua tunawaza ivo.Sijui ni macho yangu tuu, ila naona mwanamuziki Peter Msechu amefanana sana na mbunge Tundu Antipas Lissu.
Je wana undugu wowote?
Mr afu unatumia "mie" get realEvelyn Salt basi nikiliona uno lako mwili wavurugika Mr Kipago mie jamani
Haha mkuuhawa ni ndugu kabisa tena wa damu,kuna uwezekano mzee msechu ama mzee Lissu kaacha mbegu kigoma au singida....wakae chini wawaulize mama zao vizuri...
I haven't got any sexual problem like masturbating I should show her perfectionMr afu unatumia "mie" get real
Hii kali.Hata hawa wamefanana mno sijui ndo mambo ya 49%
View attachment 321543
Ni kama Ndugai alivyofanana na Piere LiquidSijui ni macho yangu tuu, ila naona mwanamuziki Peter Msechu amefanana sana na mbunge Tundu Antipas Lissu.
Je wana undugu wowote?