Peter Msechu: Ninatukanwa sana sababu ya unene wangu

Yaani yeye anasema alimchana AT kuhusu mwili wake ila anachukia yeye anavyosema juu ya mwili wake

Kazi kweli kweli
 
Nae anaona sifa na tumbo lile Kama ananyea humohumo
 


Hili tumbo hapana..na mara nyingi wenye matumbo makuuubwa Hivi wana viBAMIA
 
Aliposhiriki BSS mbona mwili wake haukuwa mkubwa sana?
 
Eti anaupenda mwili wake asitudanganye toka lini watu wanene wakapenda miili yao au anaongea tuu kujipa moyo...mwambieni anitafute nitampatia dawa within 2 weeks awe km diamond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…