Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Huu mwaka ni mbovu kwa wananchi tangu dunia iumbwe, chama cha CHADEMA kinapitia wakati mgumu sana, viongozi wakuu, viongozi wa Kanda na mikoa wamepigwa gundi mdomoni kuongea hawawezi tena na huenda Kuna void contract iliyowekwa baina ya hawa viongozi wa CHADEMA tunaodhani ni watetezi na hawa Chama cha Mapinduzi.
Naomba twende Sawa :iko hivi hiki Chama tawala kinatumia mbinu nyepesi sana kuongoza hii nchi. Hii mbinu ya kugawa pesa ovyo ni rahisi kwao kwasababu hizi pesa hawatafuti wao Bali ni sisi watanzania. Sasa huyu mama anatumia fund nyingi kuwapa viongozi wakuu wa upinzani na ndio maana huoni Mbowe kaongea suala la Ngorongoro wala Katibu Mkuu mzee wa kutweet kila tukio lakini Hola. Muda utasema ila kwa hili la Peter Msigwa kuwekwa kwenye kamati ya uwekaji mipaka Loliondo ni ishara ya wazi ya usaliti ndani ya chama na kwa Watanzania.
Ni ajabu sana, unamuweka Peter Msigwa na Steve Nyerere kwenye uwekaji mipaka Loliondo na Ngorongoro wanajua kitu gani hawa juu ya land measurements and surveying.
Hili suala ni la kitaaluma na linahitaji wenyeji wa maeneo hayo sasa Serikali inaliendesha kisiasa.
Binafsi kwa mtazamo wangu tumwache Peter Msigwa aende anakotaka, kuendelea kuwa CHADEMA ni nembo tu ila picha halisi haipo hapo.
Huyu mtu ni kaidi sana na anajionaga mtu wa demokrasia na hakuna wa kumfanyia judgements, anaona anategemewa ndani ya chama, ni msomi, ana nguvu kumbe useless kabisa.
"when injustice becomes law, resistance becomes duty" ~Americas former president said.
Naomba twende Sawa :iko hivi hiki Chama tawala kinatumia mbinu nyepesi sana kuongoza hii nchi. Hii mbinu ya kugawa pesa ovyo ni rahisi kwao kwasababu hizi pesa hawatafuti wao Bali ni sisi watanzania. Sasa huyu mama anatumia fund nyingi kuwapa viongozi wakuu wa upinzani na ndio maana huoni Mbowe kaongea suala la Ngorongoro wala Katibu Mkuu mzee wa kutweet kila tukio lakini Hola. Muda utasema ila kwa hili la Peter Msigwa kuwekwa kwenye kamati ya uwekaji mipaka Loliondo ni ishara ya wazi ya usaliti ndani ya chama na kwa Watanzania.
Ni ajabu sana, unamuweka Peter Msigwa na Steve Nyerere kwenye uwekaji mipaka Loliondo na Ngorongoro wanajua kitu gani hawa juu ya land measurements and surveying.
Hili suala ni la kitaaluma na linahitaji wenyeji wa maeneo hayo sasa Serikali inaliendesha kisiasa.
Binafsi kwa mtazamo wangu tumwache Peter Msigwa aende anakotaka, kuendelea kuwa CHADEMA ni nembo tu ila picha halisi haipo hapo.
Huyu mtu ni kaidi sana na anajionaga mtu wa demokrasia na hakuna wa kumfanyia judgements, anaona anategemewa ndani ya chama, ni msomi, ana nguvu kumbe useless kabisa.
"when injustice becomes law, resistance becomes duty" ~Americas former president said.