Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yule martini ni mshamba sanaCHADEMA wamekua wajinga, sasa hivi chama kinaendeshwa na martin maranja, mdude na hilda newton hawa ni vilaza waliovamia siasa! nashaanga eti mtu kama martin anamtukana msigwa yaani kuripoti kesi ya mbowe kutoka mahakamani na kuchangiwa zile buku buku na watu ameshajiona ni mkubwa pale Chamani ilihali hafiki hata asilimia moja ya msigwa,
Chama kinauwawa kwa ujinga wa wanaojiita wanaharakati wa Twiter
Watu wa maana wametulia mmebaki na Hilda Newton, mdude na masese akili hamna
Hoja za MMM huwezi kujibu, tatizo mnaongozwa na mahaba kwenye judgement ya vitu muhimu.yule martini ni mshamba sana