CHADEMA wamekua wajinga, sasa hivi chama kinaendeshwa na martin maranja, mdude na hilda newton hawa ni vilaza waliovamia siasa! nashaanga eti mtu kama martin anamtukana msigwa yaani kuripoti kesi ya mbowe kutoka mahakamani na kuchangiwa zile buku buku na watu ameshajiona ni mkubwa pale Chamani ilihali hafiki hata asilimia moja ya msigwa,
Chama kinauwawa kwa ujinga wa wanaojiita wanaharakati wa Twiter
Watu wa maana wametulia mmebaki na Hilda Newton, mdude na masese akili hamna