Peter Msigwa ni mlaji wa matapishi yake

Wewe ni kiazi! Una utapiamlo ambao umeadhiri uwezo wako wa kufikiri
 
Njaa ilimtoa ccm akafata shibe chadema njaa imetoa cdm.
Angehama kipindi kile ndugu yake angawa pesa za kununua wapinzani
 
Sioni ajabu...
Kama chadema chama kizima kilikula matapishi kwa kumchukua Hayati Lowassa ambaye walizunguka nchi nzima wakisema ni fisadi, na mkawaangua mkono, basi sioni jabu kwa msigwa.
Mwanasiasa ni wmanasiasa tu hapiganii maslahi yako bali tumbo lake. Kwanza kuwapigania watu kama watanzania ni kazi kuliko kazi yenyewe
 
nadhani hata wale aliowaacha chadema pia wana tabia zinazoendana rejea makaribisho ya hayati lowassa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…