Kwamba siasa ni kutukana mtu mmoja milele?Ungekua unaelewa siasa ni nini usingeandika hii thread.
Nikikunbuka vile ulivyokuwa ukimpambania Msigwa na kumshambulia Sugu, Mimi bado siamini kama kuna wakati wowote ule uliwahi kuhisi kwamba Msigwa ana hata kachembe ka-ujinga, ila anyways, wanadamu wana mengi mioyoniTangu awali nilijua Msigwa ni Mjinga lakini sikujua kama ni mjinga kiasi hiki
Naielewa sana, siyo kujidhalilisha to that extent! Kuna threshold ambayo hupashwi kuivuka!Ungekua unaelewa siasa ni nini usingeandika hii thread.
ni wapi nilimponda Sugu, weka hilo andikoNikikunbuka vile ulivyokuwa ukimpambania Msigwa na kumshambulia Sugu, Mimi bado siamini kama kuna wakati wowote ule uliwahi kuhisi kwamba Msigwa ana hata kachembe ka-ujinga, ila anyways, wanadamu wana mengi mioyoni
Kwamba siasa ni kutukana mtu mmoja milele?
Umemjibu vizuri sana!Tangu awali nilijua Msigwa ni Mjinga lakini sikujua kama ni mjinga kiasi hiki
Tena mbwa kokoAmekuja kuwa ni mbwa
DuhTena mbwa koko
Msigwa heshima aliyokuwa amejijengea chadema si ya kubeba masananu ya samia! take it seriously na si ushabiki!
Hadi aibuTena mbwa koko
Peter Msigwa, anapigana na makanjanja ya kisiasa!, na wa binafsi!Wenya akili wanakuona mpuuzi, mshenzi na uncouth!
Umemsema Mbowe huu sasa ni mwezi wa pili, amekuignore. Ona aibu . Jitafakari kidogo! CCM wenzako wanakudharau ujue!
Heshima uliyokuwa nayo si ya kubeba masananu ya watu! Tena watu uliokuwa ukiwananga miaka zaidi ya 10 starting with her predecessors!
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA
View attachment 3066228
Ataaibika sana...... CCM wanamnanga, ni kuwa hawamwambii. Mwenye akili yoyote anamuona kituko!Peter Msigwa, anapigana na makanjanja ya kisiasa!, na wa binafsi!
Hakuna haja ya kumjibu mjinga, Acha abwabwaje mpaka achoke mwenyeweUngekua unaelewa siasa ni nini usingeandika hii thread.