Pre GE2025 Peter Msigwa, ona aibu kidogo angalau, umemsakama Mbowe lakini hajakujibu

Pre GE2025 Peter Msigwa, ona aibu kidogo angalau, umemsakama Mbowe lakini hajakujibu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1-Unaweza kukuta hajali kabisa yanayoendelea.
2-Unaweza kukuta kapata changamoto ya afya ya akili.
3-Kwa wenye imani za ulozi wataamini kalogwa.
4-Analipia alichokula in a hard way.
5-Kapewa dawa za kumfanyia adui mahojiano zitumiwazo na majasusi kumpumbaza akili.
6-....nk
 
Anajiaibisha sana Msigwa, safar hii iringa pale jimbo lilikua analichukua bila tabu kabisaa ccm wakaona hil haraka wakafanya yao.
Dah inasikitisha sana
And surely that might be possible! na kweli hawatampa nafasi ya kugombea ubunge, sana sana watampa Ukuu wa wilaya! This is most likely to be so!
 
Peter Msigwa, anapigana na makanjanja ya kisiasa!, na wa binafsi!
Anajidhalilisha tu kwa level aliyokuwa amefikia siye wa kubebeshwa sanamu na uvccm angalia vizuri uso wake anaona aibu lakini ndiyo amehongwa na Abdul
 

Attachments

  • dac25c6b-05ab-4329-af3b-0497d13d1c20~2.jpeg
    dac25c6b-05ab-4329-af3b-0497d13d1c20~2.jpeg
    47.3 KB · Views: 2
CCM wamemfanya awe kituko kulipia mipasho aliyokuwa anawapasha.!!
exactly, amewatukana/amewapasha/amewaambia CM ukweli miaka zaidi ya kumi kuwa hawafai, leo all of a sudden unasema hakuna chama kama CCM, WANAKUONA PUNGUANI... to put it in a harsh language nincompoop
 
Wenya akili wanakuona mpuuzi, mshenzi na uncouth!

Umemsema Mbowe huu sasa ni mwezi wa pili, amekuignore. Ona aibu . Jitafakari kidogo! CCM wenzako wanakudharau ujue!

Heshima uliyokuwa nayo si ya kubeba masananu ya watu! Tena watu uliokuwa ukiwananga miaka zaidi ya 10 starting with her predecessors!

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA

View attachment 3066228
Tatizo siyo la msigwa yeye amenunuliwa kwa kazi hiyo ya kumsakama mbowe kumchafua kwa vile ccm wamesikia kuwa mbowe anania ya kugombea kiti cha urais ili wanaomsapoti wasimsapoti kwa hiyo ndiyo mkataba walioingia na kumpigia mama debe
 
Tatizo siyo la msigwa yeye amenunuliwa kwa kazi hiyo ya kumsakama mbowe kumchafua kwa vile ccm wamesikia kuwa mbowe anania ya kugombea kiti cha urais ili wanaomsapoti wasimsapoti kwa hiyo ndiyo mkataba walioingia na kumpigia mama debe
Wanamdanganya mama! Mbowe hawezi kugombea Urais, alijaribu miaka ile akakosa. sasa nadhani mtu sahihi ni Lisu kwa sasa kutoka chadema! Wanamdanganya Samia!

Sijui, lakini itakuwa si busara Mbowe kuwania urais na kumucha Lisu! Lisu atamtikisa samia!
 
Wanamdanganya mama! Mbowe hawezi kugombea Urais, alijaribu miaka ile akakosa. sasa nadhani mtu sahihi ni Lisu kwa sasa kutoka chadema! Wanamdanganya Samia!

Sijui, lakini itakuwa si busara Mbowe kuwania urais na kumucha Lisu! Lisu atamtikisa samia!
Wote hao watamtikisa mama awe lisu au mbowe unajua wakati aligombea na mkapa hali ilikuwa ngumu na akawa mshindi wa tatu uzuri mbowe kwenye kampeni ni mtu asiyechoka
 
exactly, amewatukana/amewapasha/amewaambia CM ukweli miaka zaidi ya kumi kuwa hawafai, leo all of a suden unasema hakuna chaa kama CCM, WANAKUONA PUNGUANI... to put it in a harsh language nincompoop
Anakula matapishi yake 😂
 
Mbowe usimjibu Msigwa,Ukimya ni silaha tosha kuliko kubwabwaja. Usimjibu Kamwe, atajibiwa na wengine.
 
Nilikuwa namuona ana akili kubwa sana huyu jamaa. Kumbe Ni empti kabisa.

Naku
 
Ikitokea malipo yake kwa kazi hii unayoita ya aibu yakawa ni aidha ukuu wa mkoa kama Mheshimiwa Sendiga Queen, ama wa wilaya, e.g Mhe wa Pili Niki utamuelewa?
 
Wenya akili wanakuona mpuuzi, mshenzi na uncouth!

Umemsema Mbowe huu sasa ni mwezi wa pili, amekuignore. Ona aibu . Jitafakari kidogo! CCM wenzako wanakudharau ujue!

Heshima uliyokuwa nayo si ya kubeba masananu ya watu! Tena watu uliokuwa ukiwananga miaka zaidi ya 10 starting with her predecessors!

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA

View attachment 3066228
Makonda aliishawahi kuwajibu?
 
Wenya akili wanakuona mpuuzi, mshenzi na uncouth!

Umemsema Mbowe huu sasa ni mwezi wa pili, amekuignore. Ona aibu . Jitafakari kidogo! CCM wenzako wanakudharau ujue!

Heshima uliyokuwa nayo si ya kubeba masananu ya watu! Tena watu uliokuwa ukiwananga miaka zaidi ya 10 starting with her predecessors!

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA

View attachment 3066228
Sasa aongee nini kwa mfano? Hana lakuongea, CCM hakuna la kuongea, ndomana kakomaa na Mbowe hadi inachosha, tumpe muda ht walio mnunua soon wata mchoka🤣🤣🤣🤣
 
Kumbukeni wote .Mbingu na ardhi huwa zinasikia viapo vyetu!!. "Msigwa aliapa kuwa akijiunga na ccm watu wa iringa mchome nyumba yake na magari yake" Huenda laana hiyo inaanza taratibu.
 
Wenya akili wanakuona mpuuzi, mshenzi na uncouth!

Umemsema Mbowe huu sasa ni mwezi wa pili, amekuignore. Ona aibu . Jitafakari kidogo! CCM wenzako wanakudharau ujue!

Heshima uliyokuwa nayo si ya kubeba masananu ya watu! Tena watu uliokuwa ukiwananga miaka zaidi ya 10 starting with her predecessors!

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA

View attachment 3066228
Mwamba amempuuzilia mbali
 
Wenya akili wanakuona mpuuzi, mshenzi na uncouth!

Umemsema Mbowe huu sasa ni mwezi wa pili, amekuignore. Ona aibu . Jitafakari kidogo! CCM wenzako wanakudharau ujue!

Heshima uliyokuwa nayo si ya kubeba masananu ya watu! Tena watu uliokuwa ukiwananga miaka zaidi ya 10 starting with her predecessors!

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA

View attachment 3066228
Huyu Mungu ameisha mkataa , ogopa saliti roho za watu kuanzia elfu moja na kuendelea ,ambao walikuamini , kama kiongozi wao , bila shaka naye Msigwa anajua , ipo siku atakuja ishi maisha ya kuvaa nguo zenye viraka ,asema Bwana sio maneno yangu , Mungu wangu yupo up to date sana ,Msigwa tunza hii
 
Wote hao watamtikisa mama awe lisu au mbowe unajua wakati aligombea na mkapa hali ilikuwa ngumu na akawa mshindi wa tatu uzuri mbowe kwenye kampeni ni mtu asiyechoka
Mzee wa isuki lemira
Kirumbiu nkwakiwandi lotore
Shuka hadi huku chini mboreny
 
Back
Top Bottom