Dai haitaji kiki ili apate kuzungumziwa yani chochote anachokifanya dai kwa sasa ni habari taka usitake, unafahamu kuwa ana watoto wengine wawili nje ya hao wazari na hamisa??Kiongozi wa Zeehive huko insta nae ananena haswa huko.. Dee alitaka kiki na anaipata.. oyeeeeee
View attachment 1081356
Sina hulka ya kumtukana mtu na usidhani kwamba kumuingiza mama yangu kwenye huu upuuzi nimefurahi, nadhani utakuwa umefurahi sasa kwa kumdhalilisha mama yangu ila kumbuka na wewe hukujizaa.. Jifunze kumuheshimu mwanamke yeyote anaeitwa mama.. Uwe na siku njema mkuu
Nimekupa na like maana nimeheshimu akili yako ilipoishia....sure!
kwa hiyo kudhalilisha mwanamke ambaye ni mama sio nzuri!''ila ulisema ni kawaida sana hii
Ukasahau maada nzima unamzungumzia mama wa watoto wawili,nakuwa nimekuweka kwenye kona ya Tiffah umeumia
Pole,naona umesoma kwa mfano mzuri
futa hii thread yako sasa,maana ina mdhalilidha mama
Nimekupa na like maana nimeheshimu akili yako ilipoishia....
Naomba usiniquote tena mkuu
Ww ndio mpigania haki za wanawake humu ndani??waache wanawake wapiganie haki zao wenyewe... infact watu kama nyinyi ndio mnasababisha wanawake wanazidi kuwa wadhaifu kwa kuwasaidia....kama unaona huyu DP amedhalilisha wanawake...waachie wenyewe watakuja kupigana wenyewe ni vita yao....How many times did he abuse women on public and nothing was done ???.....
Wake up mzee hii ni LDC na sio westernized kama Kenya... Hayo mambo ni normal katika jamii yetu ila kuwa issue ni usuperstar wa Diamond BHASI
By the way Diamond ni mpenda kiki ila kwa mambo ya biashara tu mkuu. Unafikiri yeye ni mjinga kumuhusisha Peter !!!... Ishu alitaka kutengeneza buzz kwa Afrika nzima na ndio kitu anachoanza kukipata baada ya kujibiwa.. huwezi jua pengine akashusha international collabo soon [emoji16][emoji16]
Diamond anajua anachokifanya na ni zuzu tu atakaekaa na kuanza kumchukulia serious...
Ww ndio mpigania haki za wanawake humu ndani??waache wanawake wapiganie haki zao wenyewe... infact watu kama nyinyi ndio mnasababisha wanawake wanazidi kuwa wadhaifu kwa kuwasaidia....kama unaona huyu DP amedhalilisha wanawake...waachie wenyewe watakuja kupigana wenyewe ni vita yao....
Dai haitaji kiki ili apate kuzungumziwa yani chochote anachokifanya dai kwa sasa ni habari taka usitake, unafahamu kuwa ana watoto wengine wawili nje ya hao wazari na hamisa??
Mbona nilichoandika na ulichojibu ni vitu viwili tofauti..Ww ndio mpigania haki za wanawake humu ndani??waache wanawake wapiganie haki zao wenyewe... infact watu kama nyinyi ndio mnasababisha wanawake wanazidi kuwa wadhaifu kwa kuwasaidia....kama unaona huyu DP amedhalilisha wanawake...waachie wenyewe watakuja kupigana wenyewe ni vita yao....
Soma paragraph yako ya kwanza....acha kuruka ruka na kuleta porojo mingi!Mbona nilichoandika na ulichojibu ni vitu viwili tofauti..
Halafu kingine yawezekana tumetengenashwa kwa jinsia lakini sote ni binadamu.. Kila mtu ana haki ya kuheshimu na kuulinda utu wa mtu maana ni nguzo ya kisheria za aina zozote zile zikiwemo za kidini. Nitashangaa kama hata Kristu alikuwa mpigania haki za wanawake kwa kumkingia kifua mwanamke aliyepaswa kuuliwa kwa kupigwa mawe kisa uzinzi.
Siku mtoto wako wa kike , dada, mama au shangazi yako akikutana na kadhia ya kudhalilishwa je, utakaa pembeni na kusema hayakuhusu mkuu... mfumo wowote unaoulea ipo siku utakuathiri tu
Tuanzie hapa nani kampa umaarufu mwenzake kati ya yule Ajuza na Simba?Eeeeh
Anakideo anajisifia yeye mmoja wa mabingwa wa kiki.. na anapenda drama kila siku.. eti unamtetea πππ
Hata kama angekuwa ana watoto mia.. Tiffah na Nillan wenyewe hawajali .. picha tosha kumuonyesha alivyo. Zari ndio alimfungulia njia na kumuongeza. Sasa hivi anajuta na ndio maana kamuona na Kingbae akabwabwaja uongo... Nawe unasubiria harusi ya Zariπππ
Huwa sifanyi mashindano mzee. Umeshinda.. uwe na siku njemaSoma paragraph yako ya kwanza....acha kuruka ruka na kuleta porojo mingi!
Hakuna mtu anayeshindana na mwenzake humu...next time try harder to be consistent....and make sense in your smsHuwa sifanyi mashindano mzee. Umeshinda.. uwe na siku njema
Hujaenda kinyume na expectations zangu. Unapenda arguments kuliko discussion.Hakuna mtu anayeshindana na mwenzake humu...next time try harder to be consistent....and make sense in your sms
Usiwe unacoment humu basi.....uwe unacoment nyumbani kwako na mkeo....ikiwa akili yako imeshindwa kutambua hii ni public forum...If you put a trash we trash u....Hujaenda kinyume na expectations zangu. Unapenda arguments kuliko discussion.
Pia I'm not responsible to make sense to you.. im only responsible for what i say and write but what you understand is non of my concern mkuu
Najua ni public forum ila kila mtu huelewa kwa level yake ya uelewa na hapo ndipo binadamu muelewa huweka limit mkuu..Usiwe unacoment humu basi.....uwe unacoment nyumbani kwako na mkeo....ikiwa akili yako imeshindwa kutambua hii ni public forum...