Peter (P-Square) amtusi Diamond "stupid"

Peter (P-Square) amtusi Diamond "stupid"

Ajuza ni zari mwenye miaka 37 sijui 38 alafu Simba ni Diamond, haya sasa swali la mbolea ni nani kampa mwenzake umaarufu Tanzania na E.Akwa ujumla?
Zari kaanza muziki kashinda tuzo Cha chanel 0, Diamond bado hajatoka
Tatizo wengi mmemjua Zari baada ya Diamond na Instagram kupata umaarufu
 
Zari ni mzur kwa bed aiseeeee bado kutamu sana kule hakuja chacha bado mond kaaacha vitamu sana wacha apambane na hal yake.
 
Zari kaanza muziki kashinda tuzo Cha chanel 0, Diamond bado hajatoka
Tatizo wengi mmemjua Zari baada ya Diamond na Instagram kupata umaarufu
Hawajui zar ni konk kitambo kafanya sana ushenz kitambo Ivan kahangaika sana na zar yaaan zar ni GOLD DIGGER.
 
Diamond bwana
Mwaka 2017...,,nampenda zari siwezi kumuacha nipo tayari kutembea kwa magoti hapa dar Hadi south.
2019...sikuwahi kumpenda zari kivilee yeye ndio alinipenda zaidi.


Huyu Jamaa ni Kama mvua za Dar tu, Hadi Sasa sielewi Kama masika imeisha au bado
Tafsiri yake Mondi ni tapeli, leo anasema hiki kesho kile.
 
Zari kaanza muziki kashinda tuzo Cha chanel 0, Diamond bado hajatoka
Tatizo wengi mmemjua Zari baada ya Diamond na Instagram kupata umaarufu
Hapa ndipo unafanya nikudharau, hapa tunazungumzia nani kampa umaarufu mwenzake na si nani alianza mziki mapema zaidi.

Diamond kaanza kuimba 2006.
Kuna mtu anaitwa kimbunga kaanza muziki 95 uliza watanzania wangapi wanamjua alaah! Kuwa serious aiseee
 
Uhh, but I guess things change
It's funny how someone else's success brings pain
When you're no longer involved
That person has it all
You just stuck standin' there
 
Na wimbo akamtungia.



Diamond bwana
Mwaka 2017...,,nampenda zari siwezi kumuacha nipo tayari kutembea kwa magoti hapa dar Hadi south.
2019...sikuwahi kumpenda zari kivilee yeye ndio alinipenda zaidi.


Huyu Jamaa ni Kama mvua za Dar tu, Hadi Sasa sielewi Kama masika imeisha au bado
 
58641579_140340690431534_2413762830421553703_n.jpg
 
Superb [emoji122][emoji122]
Sina hulka ya kumtukana mtu na usidhani kwamba kumuingiza mama yangu kwenye huu upuuzi nimefurahi, nadhani utakuwa umefurahi sasa kwa kumdhalilisha mama yangu ila kumbuka na wewe hukujizaa.. Jifunze kumuheshimu mwanamke yeyote anaeitwa mama.. Uwe na siku njema mkuu
 
DP was very wrong to discuss this issue in public. DP keep your dirty laundries in closets. Zari is the mother of your beautiful kids you need to show respect to her otherwise this negative attitude towards Zari will destroy your credibility and reputation and damage your product (sales of your shows and music around the World) Just take a high road apologies to both and move on with your life.
What matters to the guy is publicity and attention, only to have sufficient viewers. Hayo mengine kwao si chochote wala lolote, alikua kama amesahalika fulani akaona katika mazingira hayo aki release wimbo hautapokelewa kwa wingi, hivyo akaamua kuwachokoza wengine ili aanze kyfuatiliwa na kujadiliwa.
Dunia imadilika sana mkuu, nyimbo siku hizi zinatambulishwa na kuznduliwa Youtube.
 
Domo nalo si lilimchapiaga aivan?

Wenzie wakimmchapia kinachochapika kuna noma gani?
 
Diamond bwana
Mwaka 2017...,,nampenda zari siwezi kumuacha nipo tayari kutembea kwa magoti hapa dar Hadi south.
2019...sikuwahi kumpenda zari kivilee yeye ndio alinipenda zaidi.


Huyu Jamaa ni Kama mvua za Dar tu, Hadi Sasa sielewi Kama masika imeisha au bado
Hata x wako alisawahi kukusifia na leo hauko nae tena
 
Domo anavuna alichokipanda alitumia adabu na ustadi kujenga jina leo hii yeye kwa mikono yake anatusaidia kulibomoa hata mtoto mdogo anamdharau domo heshima yake haipo tena kabaki kichekesho mbele za watu
 
Diamond bwana
Mwaka 2017...,,nampenda zari siwezi kumuacha nipo tayari kutembea kwa magoti hapa dar Hadi south.
2019...sikuwahi kumpenda zari kivilee yeye ndio alinipenda zaidi.


Huyu Jamaa ni Kama mvua za Dar tu, Hadi Sasa sielewi Kama masika imeisha au bado
Umetisha kiongozi salute kwako
 
Haha
Huyu stupid amepewa jina kwa matamko yake ya kipumbavu na inaonekana kweli jamaa alikuwa nae kimahusiano labda stupid alikuwa hamfikishi
Maana pamoja na kumuita Stupid bado kasema ni rafiki yake pia
Sasa hapo utajua kuwa kweli alitembea nae ila STUPID kuyaongea hadharani ndio mbaya
 
Nigerian musician Peter Okoye, popularly known as Mr P, has termed as “stupid” Diamond Platnumz’s allegations that Zari Hassan cheated on the Tanzanian artiste with him.

Speaking on Nigeria’s Cool FM “Midday Oasis” show on Wednesday, April 24, the former one-half of P-Square insinuated he never had an intimate relationship with the Ugandan socialite.

Peter Okoye’s remarks come just a day after Diamond Platnumz said Zari cheated on him with the Nigerian superstar a few months to the birth of their first-born child, Latiffah Dangote.

Zari was dating P-Square’s Peter [Okoye] a few months before she and I got our first baby, Latiffah Dangote. I read [love] messages that she and Peter sent each other via mobile phone. I even confronted her,” Diamond Platnumz said in an interview with Tanzania’s Wasafi FM on Tuesday.

And in his Wednesday response to the “Tetema” star’s allegations, Peter Okoye said: “To be honest with you, I do not know what they [Diamond and Zari] are talking about. I can never, and would never say anything. Please, I have a new single [‘One More Night’ featuring Niniola], and I do not want to get distracted. I do not want to comment on Diamond’s allegations. In fact, it is stupid [of him to say what he said],” Peter Okoye told Cool FM show hosts.

“Once people discover that you are doing well, the devil just finds a way of rearing its ugly head. Nonetheless, we are friends with Diamond Platnumz; he is my guy,” said Peter Okoye.

The Nigerian musician’s statement mirrors what Zari Hassan had said on Tuesday in regard to her alleged cheating.

Taking to her Instagram page a few minutes after Diamond’s remarks on Tuesday, Zari Hassan said she did not cheat on her famous ex-lover, branding the artiste as “stupid”.

Taarabu za CHADEMA
 
Back
Top Bottom