Peter Salasya ni mbunge wa Mumias, Kenya, ambaye alingia madarakani akiwa na miaka 32. Kabla ya kuingia kwenye siasa, maisha yake yalikuwa na changamoto nyingi na alipitia vipindi tofauti, akijaribu kutafuta njia yake. Ingawa alikabiliwa na vikwazo, alijitahidi na hatimaye alifanikiwa kupata nafasi ya kuwakilisha jamii yake.
Politicians wengi tunaowaona leo wametokea maisha ya namna hiyo hiyo. kwa hiyo, tumpe hongera zake kwa kupiga step lakini tutampa hongera zaidi kama atapigania watu wengi wakombolewe kwenye maisha aliyoyaaga
Aliachieve kitu gani kabla ya kuingia kwenye siasa mpaka awe insperational kwa vijana au ana tu insperier vijana maisha yakiwa magumu tukimbilie kwenye siasa?