Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilaza mama yako akiyekuzaa shogaWewe unamatatizo na unaonekana ni kilaza wakutupwa
Kuwa na adabu na watu weweJob Ndugai hana hadhi ya kuwa spika sema ni vile alikuwa anabebwa na punguani mwenzie lakini eti naye ameanza kuvimba. Maajabu haya!
Hivi Wewe ukaelewa unachokiandika, ina maana haujasikia mwendazake kakopa ngapi kwa miaka 5 zaidi ya marais wote waliomtangulia tena kwa riba kubwa sana na tumeshaanza kulipa riba kabla ya miradi kuisha.Spika kasema ukweli baada ya akili kumrudi ,ila kwanini ccm kila anayepinga aonekane msaliti kwa vitu vya msingi?mama anakopa utadhani mikoba ya wanawake kumbe anakopea nchi huyu mama aache shobo za kukopa,nchi ndo inalipa..Tanzania tumelaaniwa kila rais tunakutana na kimeo
Aiseeee !!!Hao mapunguwani wawili walikuwa wanaipeleka nchi kuzimu.
Nadhani ARV zimegoma, na waliokuwa wakimsikiliza pumba zake pia wanapaswa kupimwa akili.