McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
Waalade (Majanga).
Jamaa sio member kweli?
Atakuwa member maana hata Domo naye yumo humu akiwakilishwa na hod.
Mungu saidia hawa wawe wanaigiza tu isiwe kweli................... Mana naskitikia watoto watakaozaliwa na baba Mdananda Wema akibadilisha mbeba pochi atafanyaje huyu
Naskia kaka alikataa kupokea mahari
Ni kweli wameoana,na ndomo hamkubali kabisa huyo shemejiye na kathibitisha zaidi alivyopost picha ya dada yake tu huko IG na kumtakia kheri katika maisha yake ya ndoa
Naskia kaka alikataa kupokea mahari
Utafurahiaje dada yako aolewe na mtu kazi yake kuzurula tu,domo kamfungulia duka dada yake huyo petii ni mariooo