McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
Kupitia mitandao kadhaa ya kijamii na uthibitisho wa picha kupitia account ya IG ya bwana harusi Petit man wakuache imethibitika kuwa wawili wamefunga ndoa siku ya leo.
Esma Platnum ambae ni dada wa msanii wa Bongo fleva Nassib Abdul a.k.a Diamond Platnumz.
InshaAllah Mungu awabariki kwenye safari yenu ya ndoa na mfanyiwe wepesi.


Esma Platnum ambae ni dada wa msanii wa Bongo fleva Nassib Abdul a.k.a Diamond Platnumz.
InshaAllah Mungu awabariki kwenye safari yenu ya ndoa na mfanyiwe wepesi.

