Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
KMi kufuga mwanaume sijawaza bado.. Nikikaribia 40 huko and single ntatafuta MTU mzima mwenzangu tusogeze nae uzee..
Ila chips mayai zilivyo tamu jamani acha tu Menopause ije mapema Cha Muhimu Uhai
Naona povu umelitoa kama lote
Ok msisahau kuzingatia sheria za barabara mkielekea hukowambeya wenzangu TWENDENI INSTAGRAM.COM hapa ubuyu kiduchuuuu! !!
Kwani nae sio muhuni?Huyo Gardner kakubalije mtoto wake aolewe na muhuni asee?
Haya mkuuKwani nae sio muhuni?
kiswahili gani kile cha kutuambia kamkojoza lady jay dee kwa miaka 12?
Wewe ndio umeuliza swali la msingi sana. Maana alizoea kulishwa na Esma na familia yake, sasa binti wa watu sijui atalishwa nini tuSasa huyo jamaa atamlisha nin huyo binti Hapa town?
Nasubiria mda ukifika uniambie tumalize wote uzeeMi kufuga mwanaume sijawaza bado.. Nikikaribia 40 huko and single ntatafuta MTU mzima mwenzangu tusogeze nae uzee..
Ila chips mayai zilivyo tamu jamani acha tu Menopause ije mapema Cha Muhimu Uhai
Marioo sungu yani mdanandaHuyo petman anafanya kazi gani ?
Marioo huwa haoi yeye huolewaWewe ndio umeuliza swali la msingi sana. Maana alizoea kulishwa na Esma na familia yake, sasa binti wa watu sijui atalishwa nini tu
Tuanze sasa hivi kama vipiNasubiria mda ukifika uniambie tumalize wote uzee
Kwakweli kutafuta pesa ndio mambo yote. Esma hana alichopoteza kwa kumkosa Petit, ni kama alikuwa anajidhibia ridhiki tu. Unaonekana Mrs. somebody, wakati somebody mwenyewe hana mbele wale nyuma. Mi nilikuwa najiuliza sababu ya Esma kumfuga yule jamaa. Bora abaki na duka lake la vitenge tu.ukiniuliza mtu kama mimi naona hicho ndo cha maana zaidi,ukishakuwa na pesa unaoa mwanaume unayemtaka na atakuheshimu atake asitake Esma hana alichopoteza.
Sasa Binti Gadna ana hiyo pesa ya kumuweka ndani Mariooo? Hata kama anayo pesa, umri wake ni mdogo sana kuanza kufuga mijitu isiyojielewa.Marioo huwa haoi yeye huolewa
Story za wabongo utaziweza,binti hajaolewa nahisi ni wimbo si unajua wabongo wape picha tu maneno wataweka wenyeweSasa Binti Gadna ana hiyo pesa ya kumuweka ndani Mariooo? Hata kama anayo pesa, umri wake ni mdogo sana kuanza kufuga mijitu isiyojielewa.
Punguza munkari mkuuAya sasa na mwanawe anaenda kukojozwa Mara 53458889986 kama alivyo mkojoza mtoto wa mwanaume mwenzie
What goes around comes around shenziiii !