Petition: Susia Azam TV, susia CECAFA challenge cup

Embu andika kwa mtiririko mzuri Mkuu. Huenda unahoja yenye manufaa.

Unaandika Kama unaongea bhana!!
 


Hivi hayo yanafanywa na serikali? Umewahi kuyasikia wakati wa gadafi? Hivi haya yanayotokea nchini mwetu ya kukutwa mili ya watu kwenye viroba mmewahi kutoa tamko kama hili au hayo hayaitaji kupigiwa kelele?
 
Baada ya kususia, Libya itatulia?

Badala michezo hii iwe mbinu mbadala ya kufikisha ujumbe kwa Ulimwengu kupitia soka, wewe unadai wasusuie. Duuh!.
Itatuma message kwa serikali ya Libya ili ichukue juhudi za ziada kupambana na vikundi vinavyoendesha vitendo vya utekaji
 
Hivi hayo yanafanywa na serikali? Umewahi kuyasikia wakati wa gadafi? Hivi haya yanayotokea nchini mwetu ya kukutwa mili ya watu kwenye viroba mmewahi kutoa tamko kama hili au hayo hayaitaji kupigiwa kelele?
Kwa kufanya hivyo uongozi wa Libya utalazimika kuchukua hatua kali zaidi kupambana na hayo makundi, isije kuwa biashara hii inatumika kama nyongeza ya pato la taifa na hivyo serikali inaachia kwa makusudi
 
Kwa kufanya hivyo uongozi wa Libya utalazimika kuchukua hatua kali zaidi kupambana na hayo makundi, isije kuwa biashara hii inatumika kama nyongeza ya pato la taifa na hivyo serikali inaachia kwa makusudi

Serikali haina control yeyote kwenye hayo makundi. Serikali iliyokua imara ilikua ya gadafi, sasa hivi kuna vikundi vingi tu vinafanya uovu. Cha kujiuliza hao wanaouzwa kama watumwa wanatokea mataifa gani? Kama ni raia wa nchi jirani wanafikaje libya?
 
Libya huwezi kuihukumu hawana serikali imara toka Gaddafi aondolewe,ni sawasawa na Somalia tuu.
 
Susia wewe.
Mbona watu wanakutwa kwenye viroba kando ya bahari, watu wanakatwa mpanga hakuwahi kutokea petition yoyote
 
kwa MAPOYOYO yote yaliyoshindwa kuelewa lakini yakajifanya yanajua ku comment naomba niyajibu ifuatavyo. AZAM TV ndiyo main sponsor wa cecafa challenge cup ambao cha kushangaza wameamua kuwaalika libya tena wapo kundi moja na tanganyika..sasa unauliza eti AZAM isusiwe kwa nini? ni kuweka pressure kwao ili waweke pressure kwa CECAF kuwaondoa hao SLAVE MASTERS..LABDA iq ZA WANA JF WENGI SIKU HIZI ZIPO CHINI lakini techniques ya kususia bidhaa za sponsors wanaohusika na jambo lolote baya sio mara ya kwanza
MAJUZI TU FOX NEWS ilipoteza sponsors wote kwenye scandAL ya ROY MOORE tena scandal ya sexual harrasment,kushika wanawake matiti ,makalio na kuwakonyeza plus vimanneno vya hapa na pale...ila hapa AFRIKA wenzetu huko wanauzwa kama wanyama na kupikwa kwenye pipa la maji ya moto wakiwa hai,its not a big deal,jesus christ
Hao waarabu kila siku wanalia israel itengwe na hata kwenye michezo Israel wanapangwa na Teams za europe badala ya middle east(Angalia Uefa)why iwe hivyo?kwa wale mliouliza eti hao wachezaji inawahusu nini?
Na huyo aliyesema mbona huku watu wanaokotwa kwenye viroba? sijui hata nikujibu nini..naomba tu niseme sababu zimbabwe hali ya uchumi ni mbaya au kuna nchi hazina umeme basi na sisi tukipata shida hizo tusilalamike


Sean Hannity Fans Call for Boycotting Keurig After Sponsors Pull Ads ...
time.com › Politics › fox news
Nov 12, 2017 - Fox News anchor Sean Hannity's fans rallied against Keurig after it pulled ads from his show following his comments on Roy Moore allegations. ... However, social media users who agreed with Keurig's decision came out in force, tweeting that they would buy a Keurig machine and making jokes about ...
x Companies Won't Advertise On 'Hannity' After Roy Moore Interview ...
deadline.com/2017/11/sean-hannity-roy-moore-advertisers-keurig-1202206708/
Nov 12, 2017 - Six companies have either pulled ads or publicly distanced themselves from Fox News' Hannity after the host was criticized for an interview with Republican ... Though most of the non-advertisers didn't give specific reasons for their absence from Hannity, their decisions were disclosed in responses to ...
Sean Hannity Fans Call for Boycott as 3 Sponsors Pull Ads - The Wrap
Sean Hannity Fans Call for Boycott as 3 Sponsors Pull Ads
Nov 13, 2017 - Update: As of Nov. 13, 11 companies withdrew ads from Sean Hannity's primetime Fox News show, including Hebrew National, Volvo, Hubble Contacts, Reddi Wip, 23andMe, Nature's Bounty, Keurig, Realtor.com, and the plus-size fashion label Eloquii. Meanwhile, two other advertisers, HelloFresh and ...
Sean Hannity Loses
 
Akili mgando hizi.
Azam ni sponsor mkuu wa cecafa challenge cup ,kwa busara zao wameona waawalike Libya na watakuwa kundi moja na tanganyika,msikose kuangalia AZAM TV kwa burudani safi ya ndugu zetu wa damu wenye upendo kutoka LIBYA
 
Susia wewe.
Mbona watu wanakutwa kwenye viroba kando ya bahari, watu wanakatwa mpanga hakuwahi kutokea petition yoyote
Azam ni sponsor mkuu wa cecafa challenge cup ,kwa busara zao wameona waawalike Libya na watakuwa kundi moja na tanganyika,msikose kuangalia AZAM TV kwa burudani safi ya ndugu zetu wa damu wenye upendo kutoka LIBYA
 
Azam ni sponsor mkuu wa cecafa challenge cup ,kwa busara zao wameona waawalike Libya na watakuwa kundi moja na tanganyika,msikose kuangalia AZAM TV kwa burudani safi ya ndugu zetu wa damu wenye upendo kutoka LIBYA
 
Azam ni wazuri ila hawana watangazaji wazuri
Una matatizo sio bure


Katika crew ya michezo azam. Wanawa chambuzi na watangazaji bora ,habari pia watangazaji wapo poa ila mie kwa upande wa wachambuzi nawapa dole wapo vzr
 
Una matatizo sio bure


Katika crew ya michezo azam. Wanawa chambuzi na watangazaji bora ,habari pia watangazaji wapo poa ila mie kwa upande wa wachambuzi nawapa dole wapo vzr
Nilimaanisha utangazaji wao wa matangazo ya moja kwa moja ya mpira hawako vizuri kama walivyo wa tbc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…