Pre GE2025 Petro Magoti: Kama mbunge alikuwa hafanyi ziara kusikiliza kero za wananchi, msimchague

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jerry slaa Sura yako utaficha wapi barabara za Jimbo lako mbovuuu sana miaka minne hijafanya kitu
 
Wajumbe ni wachache na ndio wanaoamua yote.

Halafu NEC inaenda kupigilia msumari.

Maamuzi ya sanduku la kura yanakuwa hayana maana tena, ni kutimiza wajibu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…