Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Salaam ndugu zangu: Leo asubuhi nimepita kwa bwana Millard Ayo, nikakutana na hii clip ya bwana Petro Magoti (mkuu wa wilaya ya Kisarawe) akieleza juu ya sheria pamoja na utejelezaji wake katika wilaya ya Kisarawe.
Nimewaza sana na roho imezidi kuniuma sana juu ya hekima ya hawa viongozi wetu, anyways naamini Mungu ataendelea kuwapa hekima.
NB: Kuna mtu mwingine amepost kwenye comment akasema ni bora huyu bwana angebaki kitengo tu.
Yours;
GETRICH BUSINESS CONSULTANTS
(Mawakili na wanasheria, wasajili wa biashara kampuni na taasisi, washauri wa kodi, leseni za biashara na ujenzi, waandaaji wa business plan, Business plan, Business proposal na projects managers) Tupo Ukonga Banana 0710 782874 na 0693 784003
Nimewaza sana na roho imezidi kuniuma sana juu ya hekima ya hawa viongozi wetu, anyways naamini Mungu ataendelea kuwapa hekima.
NB: Kuna mtu mwingine amepost kwenye comment akasema ni bora huyu bwana angebaki kitengo tu.
Yours;
GETRICH BUSINESS CONSULTANTS
(Mawakili na wanasheria, wasajili wa biashara kampuni na taasisi, washauri wa kodi, leseni za biashara na ujenzi, waandaaji wa business plan, Business plan, Business proposal na projects managers) Tupo Ukonga Banana 0710 782874 na 0693 784003