Salaam ndugu zangu: Leo asubuhi nimepita kwa bwana Millard Ayo, nikakutana na hii clip ya bwana Petro Magoti (mkuu wa wilaya ya Kisarawe) akieleza juu ya sheria pamoja na utejelezaji wake katika wilaya ya Kisarawe.
Nimewaza sana na roho imezidi kuniuma sana juu ya hekima ya hawa viongozi wetu, anyways naamini Mungu ataendelea kuwapa hekima.
NB: Kuna mtu mwingine amepost kwenye comment akasema ni bora huyu bwana angebaki kitengo tu.
Your browser is not able to display this video.
Yours;
GETRICH BUSINESS CONSULTANTS
(Mawakili na wanasheria, wasajili wa biashara kampuni na taasisi, washauri wa kodi, leseni za biashara na ujenzi, waandaaji wa business plan, Business plan, Business proposal na projects managers) Tupo Ukonga Banana 0710 782874 na 0693 784003
Kwa wale wanaobeba mkaa Kwa kutumia magari mwisho wa kubeba mkaa ni saa 12 jioni ukikamatwa umebeba mkaa zaidi ya saa 12 jioni utakamatwa na kulipa faini ya Tsh Mil1 .
Agizo hili ni mahususi Kwa Wananchi kupunguza kutumia Mkaa Kwa ustawi wa Mazingira na kuhamasisha Wananchi kutumia Nishati ya Gesi
Salaam ndugu zangu: Leo asubuhi nimepita kwa bwana Millard Ayo, nikakutana na hii clip ya bwana Petro Magoti (mkuu wa wilaya ya Kisarawe) akieleza juu ya sheria pamoja na utejelezaji wake katika wilaya ya Kisarawe.
Nimewaza sana na roho imezidi kuniuma sana juu ya hekima ya hawa viongozi wetu, Anyways naamini Mungu ataendelea kuwapa hekima,
NB; Kuna mtu mwingine amepost kwenye comment akasema ni bora huyu bwana angebaki kitengo tuu.
Yours;
GETRICH BUSINESS CONSULTANTS
(Mawakili na wanasheria, wasajili wa biashara kampuni na taasisi, washauri wa kodi, leseni za biashara na ujenzi, waandaaji wa business plan, Business plan, Business proposal na projects managers) Tupo Ukonga Banana 0710 782874 na 0693 784003
unataka piki piki zibebe nini sasa?, na kwanini zisibebe mkaa kama gharama za usafirishaji ni rahisi. Je, anataka baiskeli zirudi upya haoni huko ni kurudishana nyuma?.
Mkaa haujakatazwa bali piki piki ndio zimekatazwa kubeba mkaa, swali ni je, sababu iliyotolewa ina mashikoo?
Salaam ndugu zangu: Leo asubuhi nimepita kwa bwana Millard Ayo, nikakutana na hii clip ya bwana Petro Magoti (mkuu wa wilaya ya Kisarawe) akieleza juu ya sheria pamoja na utejelezaji wake katika wilaya ya Kisarawe.
Nimewaza sana na roho imezidi kuniuma sana juu ya hekima ya hawa viongozi wetu, anyways naamini Mungu ataendelea kuwapa hekima.
NB: Kuna mtu mwingine amepost kwenye comment akasema ni bora huyu bwana angebaki kitengo tu.
Yours;
GETRICH BUSINESS CONSULTANTS
(Mawakili na wanasheria, wasajili wa biashara kampuni na taasisi, washauri wa kodi, leseni za biashara na ujenzi, waandaaji wa business plan, Business plan, Business proposal na projects managers) Tupo Ukonga Banana 0710 782874 na 0693 784003