Kenya haina pesa lazima taxes ziwekwe Juu zaidi ili serikari ipate hela. Ndege na magari kubwa kubwa za uhuru na ruto lazima ziwekwe mafuta na mkaaji wa kiberaEconomists help us understand thisView attachment 696391
Kenya haina pesa lazima taxes ziwekwe Juu zaidi ili serikari ipate hela. Ndege na magari kubwa kubwa za uhuru na ruto lazima ziwekwe mafuta na mkaaji wa kibera
In kenya we have freeKenya haina pesa lazima taxes ziwekwe Juu zaidi ili serikari ipate hela. Ndege na magari kubwa kubwa za uhuru na ruto lazima ziwekwe mafuta na mkaaji wa kibera
Hata Tanzania tuko hivyo mkuu. Free Primary to Secondary and maternityIn kenya we have free
1.Primary school
2.Secondary school
3. maternity
So lazima pesa itoke pahali..
Then it's not free, is it? Unatoa pesa mfuko wa kulia unaweka mfuko wa kushoto...halafu unashtuka ....eeeh kumbe nina pesa!!!!In kenya we have free
1.Primary school
2.Secondary school
3. maternity
So lazima pesa itoke pahali..
I have never had of it, nizuri kama inafanyikaHata Tanzania tuko hivyo mkuu. Free Primary to Secondary and maternity
Its very true. Mimi Uganda naenda sana. Beer in Uganda is cheap. Africa Uganda ni wa pili kwa matumizi ya pombe. Vilevi Uganda viko cheapIt's a demand and supply thing, but wanafaa kupunguza bei ya Mafuta bana... Na hio Tusker inauzwa 90 weuh... Hapa watu wangekunywa ile baya..
Their is nothing for free in life unless it comes from above.Then it's not free, is it? Unatoa pesa mfuko wa kulia unaweka mfuko wa kushoto...halafu unashtuka ....eeeh kumbe nina pesa!!!!
Now you know... tena kukuongezea hizo mambo zilianza Tz kabla Uhuru ajagezaI have never had of it, nizuri kama inafanyika
Inafanyika sana Tanzania. Magufuli sio mtu wakuchezeaI have never had of it, nizuri kama inafanyika
Hivi kwa nini unachangia mada bila kufanya research.??US fuel prices haziko regulated lakini bado prices zao ziko chini kuliko sisi.Huwezi linganisha bei ya petrol za lower middle class na LDC.
Enda nigeria,SA,ghana ujione mwenyewe.
Ata nchi zilizoendelea kama US na Canada bei iko juu sana
Wewe kama huwezi tumia ile username yako ya kawaida, basi ishia tu, acha ushamba, ukabila na ujinga , ongeza na ujinga mwingine juu yake! Yaani jf nzima hakuna mtu yeyote mwingine ambaye username yake inaanza na jina la kabila lolote lile.Kenya haina pesa lazima taxes ziwekwe Juu zaidi ili serikari ipate hela. Ndege na magari kubwa kubwa za uhuru na ruto lazima ziwekwe mafuta na mkaaji wa kibera
Kenya bado haijaanz free secondary school education, mnategemea kuanza hii second term ya Uhuru Kenyatta, Tanzania huu ni mwaka wa pili sasa tangu tuanze kutoa free education from primary schools up to A level, put your records right.I have never had of it, nizuri kama inafanyika
Kenya sixth poorest in Africa, report saysHuwezi linganisha bei ya petrol za lower middle class na LDC.
Enda nigeria,SA,ghana ujione mwenyewe.
Ata nchi zilizoendelea kama US na Canada bei iko juu sana
Kichaa huyo asikusumbue sanaHivi kwa nini unachangia mada bila kufanya research.??US fuel prices haziko regulated lakini bado prices zao ziko chini kuliko sisi.
In US one liter of Pretol ni $ 0.87 sawa na Ksh 88.09. Hoja yako haina maana.View attachment 696428 View attachment 696429