Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
upande wa Total nikihitaji card napataje? .
Nenda kituo chochote cha Total watakupa maelezo. Ila unapaswa kuwa na TZS 23,600 (hii ni kama bei ya kadi), minimum deposit ya TZS 100,000 (unaweza kuweka zaidi) na copy ya certificate yako ya TIN.