Simba Mwenda Pole
Member
- Mar 6, 2019
- 87
- 80
- Thread starter
-
- #21
Cjakuelewa mkuuJamaa nipo naye hapa ana master ya hiyo petrolium &gas tumempa mwl chem f1 E
Petroleum inasumbua dunia nzima mkuu, sio mchezo hata Venezuela na Iran ambazo ndio nchi zenye mafuta nako wanaisoma nambaMMMM watanzania tusiangalie tu ndani ya nchi yetu,hii degree mbona bado inalipa sana hasa hapo Far East,NZ na Australia bado ni special skills ambayo inaweza kukupa PR permits,mtoa hoja usiwatie watu hofu kama unapenda kuisomea soma tu na ajira panua wigo wako wa kuitafuta,try hata Angola,hapo west Africa etc etc.
Nafkri petroleum imezidi mkuu kati ya kozi zote hii ni kozi ya ajabu sana, wewe tangia vijana waanze kuhitimu 2012 mpaka leo haijatoa Ajira hata mojaMaisha haya! Hayana formula. Sio tu Petroleum. Kuna fani nyingi sana ambazo ni a waste of time...
Mimi nilisha badrisha kozi muda saivi napiga BAF yangu mzumbe ndio niko mwaka wa pili,Petroleum petroleum namba wanaisoma,
Watu wana masters zao namba wanaisoma, watu wana PHD zao namba wanaisoma
Namba shufwa wanazisoma, namba witiri namba tasa
Watu wana mauzoefu yao namba wanaisoma, wewe una kadegree kako, mchezo utauweza?
Wewe unaka bachelor kako mchezo utauweza?, achana na petroleum itakuunguza moyo wako
Mdogo wangu mdogo wangu usiiguse petroleum, hii kitu hii sii kitu hii
Waachie walio igusa waendelee kuisoma namba, usiiguse petroleum namba utaisoma
Watu wenye one za tatu namba wanaisoma, watu wenye one za nne namba wanaisoma
watu wenye one za tano mamba wanaisoma, wewe mwenye ka two hako utauweza mchezo,
Kusoma namba sio mchezo, kawaulize chekechea
Huu ni mwaka wa nane kwa watalaam wa petroleum, bado namba wanazisoma
Kama na wewe wapenda kuzisoma namba basi chagua petroleum,
Petroleum unaipenda na namba utaisoma,
Petroleum ni janga usichague petroleum,
Badirisha kozi haraka usisome petroleum
Ewe kijana wa petroleum uliyepo chuoni,
tunza vizuri bumu lako, bumu tamu jamani litakusaidia wakati wakuzisoma namba.
Kasoda utashushia na tumaji kidogo, huku unaendelea kuzisoma namba.
Kusoma namba ni kazi, ikimbie petroleum
Namalizia kwa kusema, petroleum itakuumiza achana na petroleum.
Naweka karamu chini achana na petroleum,
Usiiguse petroleum engineering, bila huruma itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum chemistry, bila huruma itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum geology, itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Oil and Gas Engineering, itakusomesha namba mtaani,
Ewe ndugu yangu wa petroleum, kama Mechanical engineering ipo nenda kaisome hiyo, hutojuta mtaani.
Usiende huko kwenye Oil and gas, mafuta hayo yatakuchoma yatakubabua huo mwili
Bora ukasome electrical engineering, ukapigwe na short ya umeme.
Ni kweli kabisa mkuuPetroleum inasumbua dunia nzima mkuu, sio mchezo hata Venezuela na Iran ambazo ndio nchi zenye mafuta nako wanaisoma namba
Mwenyewe sijawai kuskia kazi za hii kitu zikitangazwaNafkri petroleum imezidi mkuu kati ya kozi zote hii ni kozi ya ajabu sana, wewe tangia vijana waanze kuhitimu 2012 mpaka leo haijatoa Ajira hata moja
Kivipi mkuu, hivi unaijua petroleum vzuri kazi zake ziko limited sana knowledge yake huwez kuitumia mahali pengine zaidi ya meaneo yenye PetroleumWewe pamambana na hela yote utoboe maisha achana na ishu ya generalization
Mkuu wengine tulisha andaa na passport kabisa kupata kazi ni nje ni ngum ile mbaya,MMMM watanzania tusiangalie tu ndani ya nchi yetu,hii degree mbona bado inalipa sana hasa hapo Far East,NZ na Australia bado ni special skills ambayo inaweza kukupa PR permits,mtoa hoja usiwatie watu hofu kama unapenda kuisomea soma tu na ajira panua wigo wako wa kuitafuta,try hata Angola,hapo west Africa etc etc.
Huwa tuna appexpand your horizon,tafuteni nchi za mafuta kama UAE..hamtakosa contracts huko..
HahahaaaaaaaaaJamaa ameshuka kikatili kinyama, kuna mwanangu anaisoma namba...kwa sasa anafundisha nursery hesabu za kutoa na kujumlisha
Huwa tuna app
Hahahaaaaaaaaa
Watu tutazeeka tunasubiria kazi za petroleum, hahaaaaaa,poleni..msikate tamaa...
Cheti changu nmekifungia kabatini saivi natafuta cheti kinginepoleni..msikate tamaa...
You spoke sense, ukasahau kuweka na Petroleum geosciencePetroleum petroleum namba wanaisoma,
Watu wana masters zao namba wanaisoma, watu wana PHD zao namba wanaisoma
Namba shufwa wanazisoma, namba witiri namba tasa
Watu wana mauzoefu yao namba wanaisoma, wewe una kadegree kako, mchezo utauweza?
Wewe unaka bachelor kako mchezo utauweza?, achana na petroleum itakuunguza moyo wako
Mdogo wangu mdogo wangu usiiguse petroleum, hii kitu hii sii kitu hii
Waachie walio igusa waendelee kuisoma namba, usiiguse petroleum namba utaisoma
Watu wenye one za tatu namba wanaisoma, watu wenye one za nne namba wanaisoma
watu wenye one za tano mamba wanaisoma, wewe mwenye ka two hako utauweza mchezo,
Kusoma namba sio mchezo, kawaulize chekechea
Huu ni mwaka wa nane kwa watalaam wa petroleum, bado namba wanazisoma
Kama na wewe wapenda kuzisoma namba basi chagua petroleum,
Petroleum unaipenda na namba utaisoma,
Petroleum ni janga usichague petroleum,
Badirisha kozi haraka usisome petroleum
Ewe kijana wa petroleum uliyepo chuoni,
tunza vizuri bumu lako, bumu tamu jamani litakusaidia wakati wakuzisoma namba.
Kasoda utashushia na tumaji kidogo, huku unaendelea kuzisoma namba.
Kusoma namba ni kazi, ikimbie petroleum
Namalizia kwa kusema, petroleum itakuumiza achana na petroleum.
Naweka karamu chini achana na petroleum,
Usiiguse petroleum engineering, bila huruma itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum chemistry, bila huruma itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum geology, itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Oil and Gas Engineering, itakusomesha namba mtaani,
Ewe ndugu yangu wa petroleum, kama Mechanical engineering ipo nenda kaisome hiyo, hutojuta mtaani.
Usiende huko kwenye Oil and gas, mafuta hayo yatakuchoma yatakubabua huo mwili
Bora ukasome electrical engineering, ukapigwe na short ya umeme.
Watu tutazeeka tunasubiria kazi za petroleum, hahaaaaaa,
Pole man jiajiri tu petrol ilianzishwa kisiasa na kikwete na prof Muhongo. Ilibaki kidogo tu na mimi nikasome bsc petroleum chemistry nadhani hadi sasa hivi ningekuwa bench nimepaukaVijana shitukeni mapema hii kitu sio ya kusoma mimi najutia sana kupoteza muda kusomea hii kitu, saizii ndio najuta. Kuna watu kibao Wana masters. Lakini wanasugua benchi
Mimi
Cheti changu nmekifungia kabatini saivi natafuta cheti kingine