Tuna assemble wabunge kwanzaNaelewa. Lakin je sis hata hiyo assembling ya magari tunacho hata kiwanda kimoja cha uhakika?
Sent using Jamii Forums mobile app
kiwanda cha Dar coach kipo wapi Na Tamco iliishia wapi?TATA kipo Pwani,
Dar Coach anachonga bus za SCANIA
Hata kama ni assembling lakini wanaprovide ajira na mambo yanakwenda. Huwezi kulinganisha na raia wanaowindwa badala ya kulindwaMkuu kuna tofauti kati ya ' Assembling ' na ' Manufacturing ' je hao Wakenya wanafanya mojawapo lipi hapo katika hizo Gari za Peugeot?
TATA kipo Pwani,
Dar Coach anachonga bus za SCANIA
Hata kama ni assembling lakini wanaprovide ajira na mambo yanakwenda. Huwezi kulinganisha na raia wanaowindwa badala ya kulindwa
Hata kisiasa wakenya wamekomaa na wanajua kusameheSisi kazi yetu kufukuza wabunge, uchaguzi fake , lakini hii ndiyo kenya, magari ya peugeot yanatengenezwa local
View attachment 1046021
Sijasema kuwa hazipo... ila kiwanda cha ku assebly hayo magari kipo? Au ndio kiko kwenye mipango ya kujengwa?
Nyumbu ni project ya jeshi imekuwepo siku nyingi yes.sema wamebase sana kwenye magar ya jeshi. What about civilian cars? Lakin je bidhaa zake.. zimepata soko zuri la nje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezikukubali upuuzi km huo km umendelea ungejua tofauti ya kiwanda cha magari na karakana ya kuyaunganisha magari.Nyie watanzania mna karakana ya kuunganisha gari gani?
Kubalini kwamba Kenya imewazidi kwa kila kitu.
1.Kidemokrasia
2.Kidiplomasia
2.Kiuchumi
Kenya ipo juu sana, nyie kazi yenu ni kuteka watu hovyo na kuua upinzani, maendeleo mtayasikia tu kwa wenzenu, serikali ya CCM ina tabia za kichawi, with such a government you'll never ever develop
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha kiwanda cha magari na karakana ya kuyaunganisha magariAcha UJINGA we Mkurya, jibu swali, hiyo asembolingi imefanyikia kiwandani au dukani!? Hayo ya manufacturing au assembling sijui cause hata sisi tuliwahi kua na kitu kama hicho kwa magari ya Scani pale Kibaha miaka ya 80 huko but tulishindwa kukiendesha kama kawaida yetu
Hujajibu swali langu, unadharau karakana wakati nyie hamnayo, ukizidiwa Kaa kimya tu, hiyo karakana itaajiri Wakenya wengi na ku boost uchumi, nyie mmefanya nini zaidi ya fitina tu?Hatuwezikukubali upuuzi km huo km umendelea ungejua tofauti ya kiwanda cha magari na karakana ya kuyaunganisha magari.
Sent using Jamii Forums mobile app
You are rightAcha kutoka nje ya ' Mada ' Wewe ' Hopeless ' Mkubwa. Mada inazungumzia Gari ya Peugeot, Wewe unatuletea ' Upuuzi ' wako wa hizi Siasa za ' Maji Taka ' zilizopo Tanzania kama si Bara zima la Afrika.
Mada imehusu UTENGENEZAJI WA MAGARI KWA UJUMLA bila kujali ni ya kivita au sio
Kama nyumbu wameweza kutengeneza Gari tena more ADVANCED IN MILITARY SERVICES watashindwa kutengeneza Normal cars?
Kuhusu assembly Hata Toyota wenyew katk campus yao wanafanya assembly.
Assembly haina Tija saan kwa Tz tunahitaji MANUFACTURING INDUSTRY inayitegemea..
And on top of that Tunaweza kufanya maajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakaa kuwa hatuwezi. Ila swali kwako wenzetu wamewezaje kuwavutia investors kama hao mpaka wamekuja kufungua kiwand acha assebly?
And nani kaku danganya kuwa tanzania hatuhitaj viwanda vya aina hiyo? Au unataka vya vyerehani vinne?
Mtoto lazima aanze na kutambaa kwanza ndipo atembee.
Huwez ukazaliwa na kutembea siku hiyo hiyo. Viwanda vya manufacturing vinahitaj massive investment.. na lazima tupitie kwenye assembly kabla ya kufika manufacturing. One step at a time.
Sent using Jamii Forums mobile app
We hiyo assembling unayo.....acha unafkiMkuu kuna tofauti kati ya ' Assembling ' na ' Manufacturing ' je hao Wakenya wanafanya mojawapo lipi hapo katika hizo Gari za Peugeot?
Maybe it is simple kwa unavyoona. Lakin top decision makers kule juu hawaoni hivyo.. na hapandio tatizo linapoanzia.Assembly bro mbona zinafanyika.. Au unatakajee assembly ya aina gani labda
Kitendo cha kutenganisha gari na kulipiga body jipy Technically ni assembly hiyo..
Turud kwenye mada.
Car manufacturing sio Investment ya kutisha saana ni hari ya kuamua tu kuwa nayo.
Investors wanaangalia SERA NA TABIA YA UCHUMI WA TZ
Tukicheki Tz ni ghala au tuite DAMPO la Japanese used Cars example ni Toyota.
Ukija kusema ufungue kiwanda hapa UTAUZA EACH CAR KWA BEI GANI?? ukitoa PRODUCTION COST na ulipe kodi na faida?
Unadhan waTz wanauwezo wa kununua 0Km car?
So Tabia na soko la Tz katik magari ndio chanzo cha kuwa na uhaba wa Manufacturing industries but uwezekano upo na nj very simple
Kenya wapo more ADVANCED katik ushu nzima Ya Kumaintain Economy
Ndio maan unaona gari iliyozid Miak kumi after production hairuhusiwi kuwa IMPORTED KENYA.
pia huchangia ata makampun kufany investment cause uwezekano upo Wa soko la uhakika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar coach ameingia mkataba na SCANIA wanachukua chasis na engine halafu wanamalizia body, kwa maana nyingine ni sawa na kusema Dar Coach ni assembly point ya SCANIA.Dar coach wanachonga body tu. Lakin hawana il engine yao.. gear box.. na vitu muhim . Hawana.
Wanachofanya wao wanachukua engine za scania na kuzichongea body.
Which is equvalent to wale jamaa wa KVM ambao wao pia hununua engine kwingine na body wanachongea hapo.
Tunazungumzia viwanda ambavyo vinalet kila kitu ni brand yake. From engine na mazagazaga mengine ni cha kwao.. then wana assemble.
Sent using Jamii Forums mobile app