Pgd in labour law (chuo gani tanzania?)

Pgd in labour law (chuo gani tanzania?)

ACADEMIA TODAY

Senior Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
179
Reaction score
86
Wakuu habari za majukumu.
Nahitaji kusoma sheria za kazi na ajira
je chuo gani kwa hapa nyumbani nitapata programme hiyo?


na sifa zinazohitajika ni zipi?

nahitaji post graduate diploma.

kwa sasa nina masters ya HR.

ASANTENI KWA USHAURI.
 
Mkuu labda ungepeleka hii mada jukwaa la elimu, yawezekana kuna majibu mazuri zaidi
 
nenda chuo cha ustawi wa jamii( instituye of social work) dar.kipo kijotonyama karibu na tbc wana post grdl ya law in madiation and arbitration
 
Back
Top Bottom