Kisaka80
Senior Member
- Feb 4, 2012
- 151
- 94
Wapendwa Wana JF,
Mwajiri wangu ameniambia yupo tayari kunilipia gharama zote za masomo at OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA(OUT). Hataki niache kazi kwa ajili ya kwenda kusoma Ph.D.
NAOMBENI USHAURI KWA YAFUATAYO:-
1. Muda gani huchukua kumaliza programme ya Ph.D at Open University TZ?
2.Kuna tofauti yeyote kati ya Ph.D ya OUT na ile inayopatikana pale UDSM?
3.Kuna mtu yeyote humu ndani amewahi soma Ph.D yake at Open University in Tanzania? Is it valuable like others?
Natanguliza shuukrani zangu za dhati kwa maoni yenu.
Asante.
Mwajiri wangu ameniambia yupo tayari kunilipia gharama zote za masomo at OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA(OUT). Hataki niache kazi kwa ajili ya kwenda kusoma Ph.D.
NAOMBENI USHAURI KWA YAFUATAYO:-
1. Muda gani huchukua kumaliza programme ya Ph.D at Open University TZ?
2.Kuna tofauti yeyote kati ya Ph.D ya OUT na ile inayopatikana pale UDSM?
3.Kuna mtu yeyote humu ndani amewahi soma Ph.D yake at Open University in Tanzania? Is it valuable like others?
Natanguliza shuukrani zangu za dhati kwa maoni yenu.
Asante.