Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
Naomba kufahamu simple basics za pharmacy ifundishwayo UDOM, je, soko lake la ajira limekaaje? Kuna degree au diploma? Ni kozi zipi hufundishwa ktk diploma ya pharmacy?
Nini hasa hufundishwa ktk kozi hii. Maisha kwa ujumla wakati wa kusoma yakoje hapo UDOM?
Kuna kijana kanibana na anataka kuja kusomea hapo, naomba tafadhari ushauri zaidi as net sijapata msaada saana!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Nini hasa hufundishwa ktk kozi hii. Maisha kwa ujumla wakati wa kusoma yakoje hapo UDOM?
Kuna kijana kanibana na anataka kuja kusomea hapo, naomba tafadhari ushauri zaidi as net sijapata msaada saana!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums