Pharmacy vs MD ipi inatoa kimaisha?

Pharmacy vs MD ipi inatoa kimaisha?

Ba Liz

Member
Joined
Aug 10, 2013
Posts
58
Reaction score
8
Jaman naomba mawazo yenu kati ya diploma ya phamarcy na clinical officer ipi nzuri.
 
clinical officer,lakni nmepata nafasi ya diploma ya pharmacy.so naomba ushauri vp nkasome?
 
title yako umeuliza pharmacy vs MD,ndani unaongelea diploma pharmacy vs clinic officer, ebu rekebisha apo.

angalia kitu unachopenda zaidi,kiufupi kozi zote ni nzuri,kuhusu ipi inatoa kimaisha, kufanikiwa kimaisha inategemea wewe mwenyewe ubunifu juhudi na umakini wako.
 
mie nakushauri usome coz unayoipenda; zote ukizifanya vizuri utakuwa vizuri, malengo yako yawe kuisaidia jamii inayokuzunguka, mengine utayapata tu kulingana na wakati!
 
zote ni shaaaah!bt MD naikubali sana mi nmepata B f pharmacy so nkimaliza masters itabd nichukue inayohusiana na udaktar....u love me pharmacy bt MD does most...
 
Mkuu nilidhani B. Pharmacy na Medicine..Heading inamislead,otherwise wasubirie wajuvi waje wanene hapa!
 
Kutoka kimaisha ni akili yako binafsi.......

unaweza kulipwa Million and yet you dont know how to make use

of that Millions je napo utakuwa umetoka kimaisha..........
 
Kwanza umekosea title. Rekebisha. MD ni Doctor of Medicine.....
Sasa mie niko katika field hiyo kwa miaka 18 sasa.
Kutoka kimaisha ni akili yako. Inategemea vision yako na mikakati ya kufikia vision yako.
Kuna wanaofuga nyuki wametoka kimaisha na kuna madaktari wako masikini wa kutupwa..
Nakushauri ungekuwa pia unasoma vitabu vya kuku inspire
 
mi nipo pharmacy jaman bt great appliciation to MD bt all ar highly paying its only ur vission on how to create legal aproaches ili utoke kimaisha sio kukalia ulevi tu.....i love u pharmacy bt u love me most...
 
Back
Top Bottom