PhD mbili za Nchimbi Emmanuel ni halali? High level ya uchakachuaji Tanzania

PhD mbili za Nchimbi Emmanuel ni halali? High level ya uchakachuaji Tanzania

nyamagaro

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2010
Posts
394
Reaction score
104
Wakuu wa kazi, juzi Chuo Kikuu cha Mzumbe walikaririwa na vyombo vya habari wakimtunuka Emmanuel Nchimbi PhD. Ieleweke kuwa kwa muda mrefu huyu jamaa amekuwa akiitwa Daktari kumbe hana PhD. Kama hali imefikia hivi hatuoni kuwa Tanzania tumefika kubaya? Mtu anajiita Dkt wakati he doesnt have such qualification. Na hata kama Mzumbe wamempa hii PhD tuambiwe amesoma saa ngapi?

Hiyo thesis imefanywa na nani kwa sababu ndi ngumu sana kubalance between masomo na siasa, especially being a minister. I doubt universities zetu hizi, zinachangia kuzalisha wasomi feki. The top most three in fake phd are UDOM, UDSM and MZUMBE. Hii ni embarrassment kwa jamii ya wasomi kutoa degree zisizofanyiwa kazi.

Hatuwezi kufika huko tunakotaka kama hali yetu ndiyo hii. Maana tumefikia upumbavu wa hali ya juu kwa kujidanganya kuwa tuna wasomi kumbe sifa haziendani na kisomo cha mtu. Huu ni ufisadi wa aina ya pekee.

Wanasiasa wanaweza kupata PhD ki rahisi hivi!
 
Kama Baba Riziwani kashajipatia tatu za uhakika,Yeye alipta za uchakachuaji pamoja na ufisadi. kwakweli hii ni halali yake amefanya kazi kubwa tangu achukue nchi mpaka uchaguzi mkuu.Sasa nani atawanyima akina nchimbi hizo phd wakati wanajua baba Rizi anachukuaje na wenyewe ndiyo wanashiriki kumfanyia mpango
 
hiyo thesis imefanywa na nani kwa sababu ndi ngumu sana kubalance between masomo na siasa, especially being a minister. I am doubting universities zetu hizi, zinachangia kuzalisha wasomi feki. The top most three in fake phd are UDOM, UDSM and MZUMBE. Hii ni embarassment kwa jamii ya wasomi kutoa degree zisizofanyiwa kazi.

Hatuwezi kufika huko tunakotaka kama hali yetu ndiyo hii. maana tumefikia upumbavu wa hali ya juu kwa kujidanganya kuwa tuna wasomi kumbe sifa haziendani na kisomo cha mtu. Huu ni ufisadi wa aina ya pekee. Wanasiasa wanaweza kupata phd ki rahais hivi!

Hivi watu mmekosa kazi kila siku ni kuropoka tu, UDOM hawajatoa phd hata moja we umeanza kuita feki, UDSM haya twambie ufeki wao uko wapi? Na wewe umepata wapi uwezo wa kutambua phd feki na genuin?
Vijana mbona mmejiingiza kwenye majungu ambayo hayatawasaidia? Nchimbi wewe huwezi kushindana nae phd kashapewa unapoteza muda wako na ela yako kuandika pumba humu.
Vijana chapeni kazi acha majungu
 
Kama Baba Riziwani kashajipatia tatu za uhakika,Yeye alipata za uchakachuaji pamoja na ufisadi. kwakweli hii ni halali yake amefanya kazi kubwa tangu achukue nchi mpaka uchaguzi mkuu.Sasa nani atawanyima akina nchimbi hizo phd wakati wanajua baba Rizi anachukuaje na wenyewe ndiyo wanashiriki kumfanyia mpango

Get serious! Huu mjadala ni muhimu sana halafu wewe unaleta utani usio na maana. Suala la Rais kupewa honorary degree ni la kawaida na wala yeye hajawahi kuji-proclaim kwamba ni doctor. Huyu bwana mdogo Nchimbi amdhihirisha wazi kwamba alikuwa fisadi wa elimu pale ilipojisalimisha Mzumbe baada ya kushtukiwa na Msemakweli.

Whether hiyo thesis kaandika yeye, it is obvious kwamba kwa hulka yake ya kifisadi, ametoa mkwanja na kuandikiwa kila kitu. Jamaa hata kujieleza maneno saba kwa kiingereza ni issue!
 
degree fake zinatolewa ili, wakuu wa vyuo ,wanatoa shukuran kwa viongozi waliowaweka nafasi hizo.
 
Mtoa hoja ana mtazamo wa jumla sana inaonekana tatizo ninnchimbi kuwa mwanasiasa,mbona magufuli aliweza kumaliza Phd na tukashangilia na kumsifia?kama Nchimbi ameweza kubalance majukumu na kukamilisha Thesis yake anastahili kupongezwa na sio kubezwa tatizo wa Tz wengi kutwa kucha porojo tu na umbea watu wanapiga shule wakihitimu mnasena shahada feke present basi yako real tuione kama mfano,we talk much than what we act wake TZ
 
Nilikuwepo mzumbe siku hiyo,nami nilipigwa na butwaa,Ila nilijua kasafisha ile feki ya kwanza ambayo Msemakweli aliwaweka wazi mafisadi wote wa Elimu.

Nadhani na wengine wote waliotajwa na Msemakweli waanze process ya kusafisha hizo PHD zao feki.

Hivi kuitwa Dr,wakati gorofani hamna kitu kuna faida gani? halafu ukicheki wote ni magamba yanayokimbilia Ukuu wa Nchi 2015! shame on them!!
 
Get serious! Huu mjadala ni muhimu sana halafu wewe unaleta utani usio na maana. Suala la Rais kupewa honorary degree ni la kawaida na wala yeye hajawahi kuji-proclaim kwamba ni doctor. Huyu bwana mdogo Nchimbi amdhihirisha wazi kwamba alikuwa fisadi wa elimu pale ilipojisalimisha Mzumbe baada ya kushtukiwa na Msemakweli.

Whether hiyo thesis kaandika yeye, it is obvious kwamba kwa hulka yake ya kifisadi, ametoa mkwanja na kuandikiwa kila kitu. Jamaa hata kujieleza maneno saba kwa kiingereza ni issue!

Kwanza nashangazwa na vigezo vya vipimo vyako.....Nchimbi hawezi kuongea kiingereza...umejuaje hujasema na wewe umekuwa TOEFL siku hizi.Unasema ameandikiwa,lakini unajua kuna viva voce hapa ambayo mwanafunzi anakaa mbele ya panel inayohusisha walimu toka vyuo mbalimbali na kujidefend ili apate?alikuilipa wewe umfanyie?.....mwenzio anasema kuwa Msemakweli alimuumbua ndio akaenda shule tena...huu ni uongo msemakweli katoa kitabu chake mwaka 2009 na nchimbi kaanza phd yake mwaka 2006.alimuogopaje bila kitabu kuwepo.....chuki mbaya sana magufuli alipopata phd wote mlipongeza now kwa kuwa ni nchimbi unaibuka....imetoka hio u can't reverse kamanda
 
Mtoa hoja ana mtazamo wa jumla sana inaonekana tatizo ninnchimbi kuwa mwanasiasa,mbona magufuli aliweza kumaliza Phd na tukashangilia na kumsifia?kama Nchimbi ameweza kubalance majukumu na kukamilisha Thesis yake anastahili kupongezwa na sio kubezwa tatizo wa Tz wengi kutwa kucha porojo tu na umbea watu wanapiga shule wakihitimu mnasena shahada feke present basi yako real tuione kama mfano,we talk much than what we act wake TZ

Magufuli never proclaimed himself as a Phd holder before he was awarded the Phd. Huyu b.w.e.g.e alidanganya watu kwamba ana Phd kumbe muongo mkubwa kabisa.
 
Kwanza nashangazwa na vigezo vya vipimo vyako.....Nchimbi hawezi kuongea kiingereza...umejuaje hujasema na wewe umekuwa TOEFL siku hizi.Unasema ameandikiwa,lakini unajua kuna viva voce hapa ambayo mwanafunzi anakaa mbele ya panel inayohusisha walimu toka vyuo mbalimbali na kujidefend ili apate?alikuilipa wewe umfanyie?.....mwenzio anasema kuwa Msemakweli alimuumbua ndio akaenda shule tena...huu ni uongo msemakweli katoa kitabu chake mwaka 2009 na nchimbi kaanza phd yake mwaka 2006.alimuogopaje bila kitabu kuwepo.....chuki mbaya sana magufuli alipopata phd wote mlipongeza now kwa kuwa ni nchimbi unaibuka....imetoka hio u can't reverse kamanda

Vema. Umemtetea. Tuambie phd yake ya kwanza aliipata lini na baada ya kusoma chuo gani? Was is wise kutafuta phd ya pili baada ya kupata ya kwanza?
 
Magufuli never proclaimed himself as a Phd holder before he was awarded the Phd. Huyu b.w.e.g.e alidanganya watu kwamba ana Phd kumbe muongo mkubwa kabisa.

Alidanganya wapi kima wewe,alikuwa nayo na bado anayo tatizo alikuwa kwenye college ambayo haitambuliwi tanzania.....hata phd za udsm hazitambuliwi na oxford na ndio kawaida,sasa hata useme nini amepata tayari na ameregister nyingine cape town university.haahahaha
 
phd ya kwanza ni ya open university
vema. Umemtetea. Tuambie phd yake ya kwanza aliipata lini na baada ya kusoma chuo gani? Was is wise kutafuta phd ya pili baada ya kupata ya kwanza?
 
Vema. Umemtetea. Tuambie phd yake ya kwanza aliipata lini na baada ya kusoma chuo gani? Was is wise kutafuta phd ya pili baada ya kupata ya kwanza?

Sio ya pili amaregister ya tatu captown iniversity.....tumtakie kheri
 
Wakati mwingine tusiwe watu wa kulalama tuu. Kama Nchimbi alikuwa na Phd Iliyokuwa na mashaka sio kizuizi cha kupata PhD nyingine. Tujadili mambo ya msingi; hata kama hatumpendi tukubali kuwa amepata PhD tena kutoka katika chuo kinachoheshimika. Vinginevyo vihoja vyepesi vinavohusu watu kama hivi ni aibu tupu. Nadhani mtoa mada unakosea sana kuleta umbea humu
 
Kuna mtu kauliza darasa la pili alikuwa wangapi?......uko sahihi nakuunga mkono kabisa.
 
Kwani unafikiri thesis huandikwa kwa muda gani? Hawezi kukaa nyumbani usiku ukafanya? Kwa hili nakubaliana Na PHD yake he derseve I was there alipokuwa akipresent. Mbona mnaongelea Viongozi tu kuhusu ufeki wao shule zao? How about Vijana wanaotoka vyuoni do they deserve that? Mbona vichwa vyao havipo sawa.
 
Back
Top Bottom