PhD mbili za Nchimbi Emmanuel ni halali? High level ya uchakachuaji Tanzania

PhD mbili za Nchimbi Emmanuel ni halali? High level ya uchakachuaji Tanzania

The top most three in fake phd are UDOM, UDSM and MZUMBE. Hii ni embarassment kwa jamii ya wasomi kutoa degree zisizofanyiwa kazi.

... Hapa ndo nakuona huna lolote, bali majungu yamekujaa. Imekuwa kawaida sasa kwa BAADHI ya waliosoma nje kukebehi wenzao waliosoma vyuo vya ndani. Huu ni unafiki maana reputation ya chuo haiweki maarifa kichwani mwa mwanafunzi-ni juhudi binafsi ndizo zinampa mtu maarifa. Hata ukisoma MIT, kama wewe ni kilaza utakuwa kilaza tu. Ni kweli kwamba vyuo vya nje ni bora sana kuliko vyetu, hasa upande wa teknologia, lakini tukitaka kulinganisha wanafunzi, lazima tutumie kipimo ambacho ni Universal-mfano papers ktk reputable international journals. Wewe uliyesoma nje umeandika paper yoyote?

Kuna watu wamesoma vyuo vyetu hivi hivi (tena digrii zote tatu) na wanafanya kazi zinazokubalika kimataifa. Tuache dharau!
 
Huyu amejitahidi kuisafisha PhD yake. Nafikiri hoja ingine kubwa ni zile zingine zimechukuliwa hatua gani sasa? Juzi Nape kalalamika kuwa WASOMI ndiyo wanaipeleka nchi pabaya, hajaona ni hawahawa walioshika hatamu ndiyo wanatoa maamuzi mabovu. Kwenye kile kitabu cha Msemakweli ni mmoja tu alisafishwa, naye ni Dr. Mathayo David (Msuya). Ila hata huyu bado kunautata mkubwa na kutufanya tuamini hata TCU waliamrishwa kufanya kazi kisiasa. TCU meno yenu yanaishia wapi?
 
Alidanganya wapi kima wewe,alikuwa nayo na bado anayo tatizo alikuwa kwenye college ambayo haitambuliwi tanzania.....hata phd za udsm hazitambuliwi na oxford na ndio kawaida,sasa hata useme nini amepata tayari na ameregister nyingine cape town university.haahahaha

Duh! kama magari?
 
mimi hata kama watanzania wote tutapewa PhD bado ni ushenzi tu...hakuna mtu mwoga kama wasomi wa vyuo vikuu kama wapo wenye ujasiri ni wachache sana labda akina Mkumbo na baadhi ya maprof wa sheria tena wale wazee waliositaafu wengine hamna kitu kama wanabisha waseme hapa na wataje majina kwamba hawaogopi...wasomi wetu mimi nawachukulia kama watendaji wa kata tu...maprof gani hawana hata prof club ya kusimamia mambo kwa kauli moja hasa yale yenye maendeleo kwa taifa?wanachumia matumbo yao tu.....cjasikia wakilalamikia serikali na kusimama kidedea juu ya tafiki kutumika kupanga mipango ya serikali wakizungumza ni kwenye occation fulani ikiisha basi hutasikia tena lakini tafiti wanafanya kila siku huu ni UBINAFSI na woga
 
Kesho nampeleka paka wangu Mzumbe kujisajili kwa ajili ya kupewa PhD kama Nchimbi amepewa hiyo ndude. Kwanini asingesuka na Jakaya Kikwete bosi wake akamfundisha jinsi ya kutunukiwa na kuitumia hii ndude kinamna? Kihiyo Nchimbi congrats on cheating yourself.
 
Mtoa hoja ana mtazamo wa jumla sana inaonekana tatizo ninnchimbi kuwa mwanasiasa,mbona magufuli aliweza kumaliza Phd na tukashangilia na kumsifia?kama Nchimbi ameweza kubalance majukumu na kukamilisha Thesis yake anastahili kupongezwa na sio kubezwa tatizo wa Tz wengi kutwa kucha porojo tu na umbea watu wanapiga shule wakihitimu mnasena shahada feke present basi yako real tuione kama mfano,we talk much than what we act wake TZ

swali la nyongeza mr Mtetezi,
Je Nchimbi ana pHD mbili?kama siyo mbona amekuwa akiitwa na kujiita dr kwa miaka mingi sana??
nimesikia watu kuwa na masters lukuki ila siyo phd...kama yeye ameweza hongera zake.
 
Kwani unafikiri thesis huandikwa kwa muda gani? Hawezi kukaa nyumbani usiku ukafanya? Kwa hili nakubaliana Na PHD yake he derseve I was there alipokuwa akipresent. Mbona mnaongelea Viongozi tu kuhusu ufeki wao shule zao? How about Vijana wanaotoka vyuoni do they deserve that? Mbona vichwa vyao havipo sawa.


Kwa hiyo PhD zinapatikana chumbani siyo?? PhD haziandikwi kama hadithi za udaku za Shikongo!!
 
Mtoa hoja ana mtazamo wa jumla sana inaonekana tatizo ninnchimbi kuwa mwanasiasa,mbona magufuli aliweza kumaliza Phd na tukashangilia na kumsifia?kama Nchimbi ameweza kubalance majukumu na kukamilisha Thesis yake anastahili kupongezwa na sio kubezwa tatizo wa Tz wengi kutwa kucha porojo tu na umbea watu wanapiga shule wakihitimu mnasena shahada feke present basi yako real tuione kama mfano,we talk much than what we act wake TZ
Swali ni pale alipokuwa anajiita Dr wakati kumbe sio kweli,ndio maana Msemakweli aliwatungia kitabu ,je alikuwa Dr wa heshima au Dr kama wa Maji Marefu au wa marehemu Remi
 
wakuu wa kazi, juzi mzumbe walikaririwa na vyombo vya habari wakimtunuka nchimbi phd. Ieleweke kuwa kwa muda mrefu huyu jamaa amekuwa akiitwa doctor kumbe hana phd. Kama hali imefikia hivi hatuoni kuwa Tanzania tumefika kubaya? Mtu anajiita dr wakati he doesnt have such qualification. Na hata kama mzumbe wamempa hii phd tuambiwe amesoma saa ngapi?

hiyo thesis imefanywa na nani kwa sababu ndi ngumu sana kubalance between masomo na siasa, especially being a minister. I am doubting universities zetu hizi, zinachangia kuzalisha wasomi feki. The top most three in fake phd are UDOM, UDSM and MZUMBE. Hii ni embarassment kwa jamii ya wasomi kutoa degree zisizofanyiwa kazi.

Hatuwezi kufika huko tunakotaka kama hali yetu ndiyo hii. maana tumefikia upumbavu wa hali ya juu kwa kujidanganya kuwa tuna wasomi kumbe sifa haziendani na kisomo cha mtu. Huu ni ufisadi wa aina ya pekee. Wanasiasa wanaweza kupata phd ki rahais hivi!

PHD alikuwa nayo ila ilileta utata wakati baraza la vyuoa vikuu lilipo vikataa miaka minne iliyopita akiwemo yeyy,kamala,elisante na wengine kibao ndipo kamanda akaaamua kusoma.Tunampongeza, ni haki yake!
 
Be proud of your universities!! Sasa PHD halali za nchi gani kama za nchini kwako unasema feki!! PHD huingii darasani unafanya utafiti hivyo mtu anaweza akaendelea na kazi mradi aipatie muda muafaka shule yake ya utafiti. Isitoshe kwani wewe uko nae muda wote hata ujue kuwa alikuwa kwenye siasa tu na hajafanya utafiti wowote? Mwizi mkamateni lakini sifa yake mpeni. If Mzumbe says he has qualified than who are you to say he has not? Hapa unakosea kwa kweli!!!
wakuu wa kazi, juzi mzumbe walikaririwa na vyombo vya habari wakimtunuka nchimbi phd. Ieleweke kuwa kwa muda mrefu huyu jamaa amekuwa akiitwa doctor kumbe hana phd. Kama hali imefikia hivi hatuoni kuwa Tanzania tumefika kubaya? Mtu anajiita dr wakati he doesnt have such qualification. Na hata kama mzumbe wamempa hii phd tuambiwe amesoma saa ngapi?

hiyo thesis imefanywa na nani kwa sababu ndi ngumu sana kubalance between masomo na siasa, especially being a minister. I am doubting universities zetu hizi, zinachangia kuzalisha wasomi feki. The top most three in fake phd are UDOM, UDSM and MZUMBE. Hii ni embarassment kwa jamii ya wasomi kutoa degree zisizofanyiwa kazi.

Hatuwezi kufika huko tunakotaka kama hali yetu ndiyo hii. maana tumefikia upumbavu wa hali ya juu kwa kujidanganya kuwa tuna wasomi kumbe sifa haziendani na kisomo cha mtu. Huu ni ufisadi wa aina ya pekee. Wanasiasa wanaweza kupata phd ki rahais hivi!
 
Tulishuhudia mhe . huyo akitunukiwa Phd toka Mzumbe last week , ingawa inafahamika toka awali kuwa nchimbi tayari alikuwa na Phd ( Ukweli Phd yake tayari ilishafutwa tangu kabla ndio sababu alianza tena kuitafuta) . Wakati akidefende research pepaer yake internal supervisor wake aligoma kumaward kwasababu ilikuwa nyeupe in short alikuwa disqulified kwenye panel ya maprof. waliosilikiza presentation yake. Ni aibu kwake kwa sababu siku ameenda kupresent paper yake aliongozana na msululu wa wapambe plus waandishi wa hbari, mwisho wa siku alitoka kapa, lakini cha kushangaza katika list ya wanaograduate mwaka huu toka mzumbe jina la muheshimiwa likaoneka lipo thats where utata ulioanza, wachunguzi na taarifa za kiintelejensia zinadai ilitoka order apewe Phd yake but this is not (haikubaliki ameshakachua na kulazimisha kupata ) ingawa ukweli utabaki pale pale he is not deserve to be awarded the Phd . Hali kama hii kwa kweli inadidimiza elimu na kufanya quality ya elimu inayotolewa na vyuo vyeti kuwa doudted kama mtu anaweza kupewa Phd kwa order thats is real a great shame on them ! Au kwakuwa anaweza kuja kuwa mpezdaa apo baadae ndio sababu kapewa !
 
Moja alipatia uwaziri, nyingine ataitumia kupatia urais mbele ya safari....hii ni kwa mujibu wa fikra zangu, sio lazima yeye awe anafikiria hivyo. Inawezekana akaamua kwenda kwa Phd ya tatu pia, who knows! Hiyo itakuwa ni kwa ajiri ya kuchukua nafasi ya Ban Kin Moon atakapokuwa amestaafu.
 
PHD alikuwa nayo ila ilileta utata wakati baraza la vyuoa vikuu lilipo vikataa miaka minne iliyopita akiwemo yeyy,kamala,elisante na wengine kibao ndipo kamanda akaaamua kusoma.Tunampongeza, ni haki yake!


Kama hayo unayoyasema ni kweli, ilikuwaje akaendelea kujiita Dr??

Halafu kitu cha kushangaza, mtu ambaye siyo academician wala researcher na amabaye hajawahi kuwa na formal employment popote zaid ya siasa inakuwaje anakuwa na ambition za kusoma hivyo?? Kwa vile alishawahi kuwa naya fake one then we may also question this one too!!!
 
Tulishuhudia mhe . huyo akitunukiwa Phd toka Mzumbe last week , ingawa inafahamika toka awali kuwa nchimbi tayari alikuwa na Phd ( Ukweli Phd yake tayari ilishafutwa tangu kabla ndio sababu alianza tena kuitafuta) . Wakati akidefende research pepaer yake internal supervisor wake aligoma kumaward kwasababu ilikuwa nyeupe in short alikuwa disqulified kwenye panel ya maprof. waliosilikiza presentation yake. Ni aibu kwake kwa sababu siku ameenda kupresent paper yake aliongozana na msululu wa wapambe plus waandishi wa hbari, mwisho wa siku alitoka kapa, lakini cha kushangaza katika list ya wanaograduate mwaka huu toka mzumbe jina la muheshimiwa likaoneka lipo thats where utata ulioanza, wachunguzi na taarifa za kiintelejensia zinadai ilitoka order apewe Phd yake but this is not (haikubaliki ameshakachua na kulazimisha kupata ) ingawa ukweli utabaki pale pale he is not deserve to be awarded the Phd . Hali kama hii kwa kweli inadidimiza elimu na kufanya quality ya elimu inayotolewa na vyuo vyeti kuwa doudted kama mtu anaweza kupewa Phd kwa order thats is real a great shame on them ! Au kwakuwa anaweza kuja kuwa mpezdaa apo baadae ndio sababu kapewa !

Ahhahahhahahaah jamani uongo wa kuku unawekwa huku.mtu hawezi kwenda ktk panel ya viva voce kabla supervisor wake na external hawajampa maksi....kama alifeli kwa maproffessor na udsm walimpitishiaje mpaka viva voce....alikwenda na waandishi ktk viva voce sasa kama viva voce alibeba waandishi na gradu aliwasahau kwa sababu gani?hivi mtu anaweza beba waandishi kwenye mtihani then akaacha kuwabeba kwenye graduation?wivu ni mbaya sana
 
Huyu nae aliyechakachua elimu yake anautaka uspika. Maajabu sasa haya.
 
Get serious! Huu mjadala ni muhimu sana halafu wewe unaleta utani usio na maana. Suala la Rais kupewa honorary degree ni la kawaida na wala yeye hajawahi kuji-proclaim kwamba ni doctor. Huyu bwana mdogo Nchimbi amdhihirisha wazi kwamba alikuwa fisadi wa elimu pale ilipojisalimisha Mzumbe baada ya kushtukiwa na Msemakweli.

Whether hiyo thesis kaandika yeye, it is obvious kwamba kwa hulka yake ya kifisadi, ametoa mkwanja na kuandikiwa kila kitu. Jamaa hata kujieleza maneno saba kwa kiingereza ni issue!

so kujua kiingereza ndio kipimo cha kuwa msomi,,,,kabisa your mind has been corrupted kijana
 
Kuna kakitabu niliwahi kukisoma kalifichua wale wote wenye phd bandia ata huyu mh alikuwepo nakumbuka mama Rwakale yule nae alikuwepo
 
Back
Top Bottom