PhD ya Musukuma yazua gumzo, Chuo kilichomtunuku hakitambuliki

PhD ya Musukuma yazua gumzo, Chuo kilichomtunuku hakitambuliki

[emoji16][emoji16][emoji16]mimerudi mtu wangu ,nilipotezwa kidogo [emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23] wacha wee, muambie huyo anae kuficha apunguze bas, kuna wengine pia nje wanatak uwepo wako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wacha wee, muambie huyo anae kuficha apunguze bas, kuna wengine pia nje wanatak uwepo wako.
Kanikinai sahivi ndiyo maana kaniachia nihangaike kila kona [emoji16][emoji16]
 
Wanatudanganya na elimu kutaka kuidanganya umma, je mahitaji ya wananchi wanatimizaje kama sio longo longo tu hawa jama kila kitu fakeroooo [emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu baba ameniacha hoi saan, yaan alivokua anawachamba na kuwatukana wasomi wazi wazi, ile siku kamchamba Prof Ndalichako bungeni tena kwa maneno mazito na ya fedheha nlijisikia vibaya sana. Kumbe naye eti usomi anautaka.

Daaah hataree sana. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wachunguzi wanadai kwamba eti Chuo hicho kiko India na kwamba kina matawi yake Uingereza na Marekani bali uchunguzi unaonyesha kwamba hakijawahi kusajiliwa Uingereza wala Marekani na wala hakipo huko.

Kingine ambacho wachunguzi wamekifuatilia ni vigezo ambavyo vimezingatiwa ili kumpa heshima hiyo Musukuma, yadaiwa ni mchongo mwanzo mwisho.

Baba Askofu Bagonza amenukuliwa kwamba aliombwa dola 500 na chuo hicho ili aingizwe kwenye mchakato wa watakaopewa PhD hiyo na hicho chuo cha Musukuma ila yeye akagoma na akawaambia wahusika kwamba anazo ofa kadhaa kutoka kwenye vyuo vikubwa duniani vinavyomuomba akubali kupewa PhD za heshima, tena kwa vyuo vyenyewe kumlipa hadi USD Elfu 10, siyo kwa yeye kuvilipa vyuo kama chuo cha Musukuma kinavyodai.

Swali ni hili, ni nani anafaidika na vyuo vya uongo kama hiki cha Musukuma na ili iweje
Msukuma kajitwicha kofia ya ujinga kichwaniii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu baba ameniacha hoi saan, yaan alivokua anawachamba na kuwatukana wasomi wazi wazi, ile siku kamchamba Prof Ndalichako bungeni tena kwa maneno mazito na ya fedheha nlijisikia vibaya sana. Kumbe naye eti usomi anautaka.

Daaah hataree sana. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijiulizaga awali kuwa walimpatia huo PHD wa heshima waitumia vigezo gani kuntu kumbe ni mambo ya kununua na kudanga raia,hakuna uongo usio na mwisho
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana, kuna sehemu umekwama ndo maan kakuachia uzurure,
Miezi miwili sio mchezo ana kila sababu kunikinai [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],sikwami eti mpaka kieleweke
 
kwa hiyo ile ya kuchangia ya sisi wa la saba itaisha rasmii na sasa kaingia league moko na akina dr mwingulu, dr mpango, dr tulia, .....nk....sasa kibajaj kabakiiii peke yake....kishimba yeye wala hahitaji hiyo
 
Miezi miwili sio mchezo ana kila sababu kunikinai [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],sikwami eti mpaka kieleweke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] miezi miwili mlikua mnataka mfanane hadi utumbo mwembamba? Khaaaaah
 

HONORARIES AND AWARD

As a result of his good work, different institutions and universities honored Mwalimu Nyerere to mark his contributions to Tanzania, Africa, developing countries and the entire world.
Honorary Degrees and Awards
He received honorary degrees from the following:

1. University of Edinburgh (United Kingdom)
2. University of Dugueshe (United States of America)
3. Cairo University (Egypt)
4. University of Nsukka (Nigeria)
5. University of Ibadan (Nigeria)
6. University of Monrovia (Liberia)
7. Toronto University (Canada)
8. Havard University (United States of America)
9. Howard University (United States of America)
10. Ljubliana (Yugoslavia) - Honorary Doctoral of Law (26 March 1985)
11. Pyongyang University (Korea) - Honorary Doctorate of Philosophy (28th March 1985)
12. National University of Lesotho (Lesotho)
13. The State House Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree for Diplomacy (20th Sept, 1985)
14. Havana University of Cuba (Cuba) - Honorary Degree of Doctor Of Philosophy (30th Sept 1985)
15. University of Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree of Literature Honoris Causa (13th Sept 1986)
16. Universities of Philippines (Philippines) - Honorary Doctorate of Humanities (12th July 1991)
17. Manila (Philippines) - Honorary Doctor Degree (12th October 1992)
18. Makerere University Kampala (Uganda) - Honorary Doctor of Laws (29th January 1993)
19. Open University of Tanzania (Tanzania) - Doctor of Letters Honoris Causa (15th March 1997)
20. Claremont University Centre (United States of America) - Doctor of Laws for Claremont graduate School California (17th May 1997)
21. Sokoine University of Agriculture (Tanzania) - Doctor of Philosophy Honoris Causa (28th November 1997)
22. University of Fort Hare (South Africa) - Doctor of Laws Honoris Causa (23rd April 1998)
23. Lincoln University (United States of America) - Honorary Degree of Laws (5th May 1998)
 
Aisee wanasiasa mnakatisha watu tamaa ya kusoma bhana, watu wanahangaika kusoma kwa taabu wanakesha usiku, Kuna wengine Familia zinauza Mali za ukoo ili kijana asome, wengine wa nashindwa kumaliza kwa kukosa Ada na wengine wanashindwa kwa kufeli mitihani(discontinuation).
Masikini ya Mungu na wengine watoto wa kike mpaka wanauza utu wao kwa waalimu wao kwa kutoa rushwa ya ngono, halafu huku nyie yaani mnapeanapeana tu, eti mara Degree ya heshima, mara PhD ya heshima, acheni mzaha na elimu jamani, Elimu ni IBADA.
Tunao wazee wenye hekima wengi tu wanaishi huko vijijini na ambao hawajui kusoma wala kuandika, lakini baadhi yao walistahili kutunukiwa PhD za heshima. Tatizo lililopo tu ni kwamba hawako kwenye mfumo rasmi unaowawezesha kupata PhD hizo. Ieleweke wazi kuwa PhD ya heshima ni PhD ya heshima, siyo PhD ya kuhangaika na nondo kali kali darasani
 
President Barack Obama honorary degrees...
1638793861727.png
 
Back
Top Bottom