Umeuliza swali, tunapaswa kukujibu, ingawa, kwa level yako hupaswi kuuliza swali la namna hii! bado unamidhania ya ulinganishi wa maneno ya mtaani ambao unafanywa na watoto wadogo hasa degree ya kwanza.
OUT inawanafunzi wengi sana wa PhD, na kimsingi unapaswa kujiandaa haswa kisaikolojia! wanahitaji mtu usome na uelewe! Elimu unayoihitaji pale sio lelemama! ni kuandika na ku present ulicho find.
Level ya PhD ni kubwa sana, ndio mana huwezi kita watu wenye level hiyo wanajadili eti chuo kipi ni zaidi.
nakushauri soma pale unapoona panafaa, wote mtaitwa Dr, na ufanisi wa u Dr wako utategemea na uzamivu wa eneo ulilofanyia research