PhD ya Open University inathaminika?

PhD ya Open University inathaminika?

Wakuu nataka kusoma PhD Chuo Kikuu huria, je hii Shahada toka chuo pendwa inathaminika huko kitaa? Nisije kupoteza muda na pesa. Asanteni
PhD ya OUT inathaminika mkuu..
Feki ni zile zinazouzwa mitandaoni
 
Umeuliza swali, tunapaswa kukujibu, ingawa, kwa level yako hupaswi kuuliza swali la namna hii! bado unamidhania ya ulinganishi wa maneno ya mtaani ambao unafanywa na watoto wadogo hasa degree ya kwanza.

OUT inawanafunzi wengi sana wa PhD, na kimsingi unapaswa kujiandaa haswa kisaikolojia! wanahitaji mtu usome na uelewe! Elimu unayoihitaji pale sio lelemama! ni kuandika na ku present ulicho find.

Level ya PhD ni kubwa sana, ndio mana huwezi kita watu wenye level hiyo wanajadili eti chuo kipi ni zaidi.

nakushauri soma pale unapoona panafaa, wote mtaitwa Dr, na ufanisi wa u Dr wako utategemea na uzamivu wa eneo ulilofanyia research
Point sana mkuu. Hizo mambo za kubishania vyuo waachie undergrad huko
 
Back
Top Bottom