Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
PhD in KiswahiliNgoja waje
Kama ile ya Lipumba jameni. Hivi inafaida gani kwa nchi? Lipumba si aende pale UDSM akafundishe. Aache kuaibisha PhD ya darasani1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Umeuliza swali/maswali bila kutambua unathibitisha kuwa PhD ni muhimu...1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Huyo anayekunywa dawa hapo pichani ana tofauti gani na Dr Mwaka? (Standard 7)?Umeuliza swali/maswali bila kutambua unathibitisha kuwa PhD ni muhimu...
Mwenye PhD halali hawezi kufikiri lowly kama wewe
PhD=2500USDsokomoko la phd
hahahahahahaha we jamaaHuyo anayekunywa dawa hapo pichani ana tofauti gani na Dr Mwaka? (Standard 7)?
Zimetuletea mafisadi waliojazana kwenye ofisi za umma with zero contribution to our national development.1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Mfano PhD ya bwana tulia mbunge wa Mbeya mjini ina tija gani kwa faida ?1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Wataalamu wengi waliopo serikalini wanaotunga sera nk,wamefundishwa na hao wenye PHD!1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?weny
Wenye PHD wengi ni waalimu wa vyuo vikuu,wanadundisha wataalamu wa kada mbalimbali,