Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Vilaza wanawafundisha vipangaNa ni Prof wa chuo ambacho huwa kina jigamba kuwa na Wanafunzi vipanga [emoji23]
Wasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.Proffessor Maruma ametetemeshwa na wasomi wenziwe huko duniani hadi anasikitisha.
Amelowa!
Na Tanzania kiuchumi tunapigwa kisawasawa, tumepambana na Economic Hit Men.
Wasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.
Masikini wasomi wa Tanzania, hasara tupu.
Sasa ki nchi ndio tutajifunza kuheshimu si tu limu bali umakini, experience na proffessionalim katika fani zote za uchumi.
La kwamba limeamuliwa na msimamo wa chama matokeo yake tunayaona tungali hai.
Msukuma ataishia kusema mm tajiriWasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.
Masikini wasomi wa Tanzania, hasara tupu.[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
PhD zao ni kama tetekuanga ama kideli cha kuku, niishie tu kusema hivyo bila ya kutoa ufafanuzi zaidi.Proffessor Maruma ametetemeshwa na wasomi wenziwe huko duniani hadi anasikitisha.
Amelowa!
Na Tanzania kiuchumi tunapigwa kisawasawa, tumepambana na Economic Hit Men.
Wasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.
Masikini wasomi wa Tanzania, hasara tupu.
Sasa ki nchi ndio tutajifunza kuheshimu si tu elimu bali umakini, experience na proffessionalim katika fani zote za uchumi.
La kusema kwamba , limeamuliwa na msimamo wa chama matokeo yake tunayaona tungali hai.
Haa joho alilowahi kuvaa hajui linapigwaje pasi!Msukuma lazima awatambie hao wazungu kwamba anawazidi pesa hivyo yeye ana elimu kubwa kuliko wao, le bush doctor bhana.
Proffessor Maruma ametetemeshwa na wasomi wenziwe huko duniani hadi anasikitisha.
Amelowa!
Na Tanzania kiuchumi tunapigwa kisawasawa, tumepambana na Economic Hit Men.
Wasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.
Masikini wasomi wa Tanzania, hasara tupu.
Sasa ki nchi ndio tutajifunza kuheshimu si tu elimu bali umakini, experience na proffessionalim katika fani zote za uchumi.
La kusema kwamba , limeamuliwa na msimamo wa chama matokeo yake tunayaona tungali hai.
Tatizo ni ccmProffessor Maruma ametetemeshwa na wasomi wenziwe huko duniani hadi anasikitisha.
Amelowa!
Na Tanzania kiuchumi tunapigwa kisawasawa, tumepambana na Economic Hit Men.
Wasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.
Masikini wasomi wa Tanzania, hasara tupu.
Sasa ki nchi ndio tutajifunza kuheshimu si tu elimu bali umakini, experience na proffessionalim katika fani zote za uchumi.
La kusema kwamba , limeamuliwa na msimamo wa chama matokeo yake tunayaona tungali hai.
Hata hivyo, hao hao wataalamu wakiingia kwenye siasa, au wakiwa na wanasiasa, wanajikomba na kujitoa ufahamu.Profesa Mruma hana tatizo lolote. Amejitahidi kujibu maswali kistaarabu sana. Kiingereza chao kinajitosheleza. Tatizo ni kesi mbaya kwa serikali ya JMT. Kosa liliofanywa na serikali ni la wazi na la kijinga. Tundu Lissu alieleza vizuri sana. Hakuna namna ya kulitetea zaidi ya kufanya kausanii ili angalau kuokoa haiba ya taifa. Hakukuwa na namna. Sidhani kama watanzania wangeona raha kama kina Mruma wangekiri kosa moja kwa moja.
Mazingira ya kazi kwa watumishi wanataaluma wa serikali ni magumu sana. Viongozi wa kisiasa wanalazimisha maamuzi ya kibaradhuli yahalalishwe “kitaalamu” na watumishi. Rejea Dr Kimei alivyosema kuhusu ujenzi wa jengo la CRDB Chato. Wakifikishwa kwenye mahakama za ukweli duniani lazima wajikanyage kanyage. Huwezi kutetea ujinga kirahisi. Kule hakuna talalilla wala mbambamba. Labda mnataka watumishi wawe wakijiuzulu wakitakiwa kufanya madudu. Basi hatutakuwa na watumishi wa umma.
Ni juu yetu wananchi kuwadhibiti viongozi wa kisiasa kama tunataka wataalamu wafanye kazi kikweli kweli. Kiongozi anasema hataki upembuzi yakinifu wa mradi wala tathmini ya athari za maamuzi, sisi tunashangilia! And we still expect wonders!
Wewe nao ni wale wale proffessor❌️, Professor, elimu ya kukariri ngumu sana, kama unashindwa kuandika kitu kidogo kwa ufasaha basi uelewa wako kwa mambo mengi ni wa kutiliwa shaka.Proffessor Maruma ametetemeshwa na wasomi wenziwe huko duniani hadi anasikitisha.
Amelowa!
Na Tanzania kiuchumi tunapigwa kisawasawa, tumepambana na Economic Hit Men.
Wasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.
Masikini wasomi wa Tanzania, hasara tupu.
Sasa ki nchi ndio tutajifunza kuheshimu si tu elimu bali umakini, experience na proffessionalim katika fani zote za uchumi.
La kusema kwamba , limeamuliwa na msimamo wa chama matokeo yake tunayaona tungali hai.
Hizi chuki zimezidi sasa, kwahiyo huyo Prof nae alipewa msaada ya quaran?Nje ya maada: Tuendelee kukubali misaada ya Kuruani za bure kutoka Uarabuni labda zitasaidia uchumi wetu, maana hamna mchango wowote kutoka Nchi za Kiarabu zaidi ya Kuruani za bure.