GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,007
- 5,290
Tatizo kubwa la nchi hii lina azia kwenye maadili, hapa ndio mzizi wa fitina ulipo.Bado tupo nyuma sana katika kujielewa kwan sisi waTanzania Tulilogwa huko nyuma na Zaid Tukalogwa na wanaotuongoz wakiwa tayar wamelogwa
Kuna Yule alisema
Ukiw na akili Timamu kuish Tzs ni ovyooo [emoji2][emoji81][emoji847][emoji613]
Maadili mabovu yamepelekea tabia mbaya ya ubinafsi, uoga na kutojua kudai haki